Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unakerwa na makelele ya huyo mwanamke muabudu ngono, peleka malalamiko yako kwenye mamlaka husika kwa maana anayehusika na hayo makazi.
Kama tatizo ni wewe kutamanishwa na huyo mdada hilo ni tatizo la kujiendekeza mwenyewe na uamuvi ni wako, kucheza na nyani na kuvuna ubua au kufanya vinginevyo. Kumbuka kuna herpes na HIV na pia matarajio yako ya uliyoyajenga kwa miongo kadhaa yanaweza kutoweshwa in amtter of seconds kwa starehe ya sekunde zisizozidi 20(nadhani wewe ni mtu mzima sasa umenielewa, eeh?)
Haya kila la kheri