The Boss In Town
New Member
- Jan 23, 2015
- 2
- 4
Salaam wakuu.
Mimi ni mgeni Jamii Forums ila hiki kisa kimefanya nije huku,naona niandike hapa angalau nipunguze hasira zangu.Kuna binti ni mdogo wake na shemeji yangu ambaye amekuja hivi karibuni kwa kaka yangu ambapo na mimi nakaa kwa muda maana nipo Mwanza kikazi hivyo kaka akasema sio vyema nikapanga kwa muda wa miezi miwili ya kukaa hapa Mwanza maana ni nyumbani kabla ya kurudi Arusha.
Sasa huyu binti kwa muda mrefu amekuwa akinitega kwa kunivalia nusu uchi hasa kaka na shemeji wakiwa hawapo,ni mnene kiasi,mfupi,mweupe pee kifupi ni mzuri sana na nimejizuia sana kumtongoza lakini kuna siku aninitega sana kwa kuacha matiti almost wazi kwa kuyabinua, zaidi sana alivaa nguo fupi ambayo akikaa kwenye kochi mapaja yote yanakuwa wazi.
Basi kidume nikakaa karibu na kumsifia alivyoumbika na nikamwambia hali yangu ni taabani nikimwangalia kifuani mwake na taratibu nikamshika mikono na akaachia bonge la tabasamu nikajua tupo pamoja,nikamshika vizuri na kuanza kumtomasa na kote huko alinipa ushirikiano baadae nikamla denda na kuanza kumvua taratibu lakini nilipofika kwenye kumvua pichu yake aligoma na kunikatalia kisha kuvaa nguo zake na kwenda chumbani kwake.
Shemeji aliporudi akamwambia kuwa nilitaka kumbaka na nikaitwa mbele ya kaka na mbaya zaidi Baba yangu mzazi pia alikuwepo.Baba yangu ananiamini sana ila kwa hili amefadhaika sana na hataki hata kuniona lakini jana nimekaa na kaka na kumweleza yote kikubwa ameniomba niondoke kwake kuepusha migongano.
Kuna biashara ya samaki tulikuwa tunafanya na kaka pia bro amekataa tusifanye akisema nilichofanya hakivumiliki,mimi sijaoa bado ila sijui kwanini hawanisikilizi tena ukweli mpaka sasa sijajua huyu dada alikusudia nini kiukweli amenidhalilisha sana na kwa sasa nimeondoka kwa bro nipo kwa jamaa yangu anafundisha hapa SAUT.Naombeni msaada wenu wa mawazo nifanyeje wanielewe hasa baba yangu pia huyu binti nafikiria cha kumfanya sijajua bado.Samahani kwa maandishi mengi.
Mimi ni mgeni Jamii Forums ila hiki kisa kimefanya nije huku,naona niandike hapa angalau nipunguze hasira zangu.Kuna binti ni mdogo wake na shemeji yangu ambaye amekuja hivi karibuni kwa kaka yangu ambapo na mimi nakaa kwa muda maana nipo Mwanza kikazi hivyo kaka akasema sio vyema nikapanga kwa muda wa miezi miwili ya kukaa hapa Mwanza maana ni nyumbani kabla ya kurudi Arusha.
Sasa huyu binti kwa muda mrefu amekuwa akinitega kwa kunivalia nusu uchi hasa kaka na shemeji wakiwa hawapo,ni mnene kiasi,mfupi,mweupe pee kifupi ni mzuri sana na nimejizuia sana kumtongoza lakini kuna siku aninitega sana kwa kuacha matiti almost wazi kwa kuyabinua, zaidi sana alivaa nguo fupi ambayo akikaa kwenye kochi mapaja yote yanakuwa wazi.
Basi kidume nikakaa karibu na kumsifia alivyoumbika na nikamwambia hali yangu ni taabani nikimwangalia kifuani mwake na taratibu nikamshika mikono na akaachia bonge la tabasamu nikajua tupo pamoja,nikamshika vizuri na kuanza kumtomasa na kote huko alinipa ushirikiano baadae nikamla denda na kuanza kumvua taratibu lakini nilipofika kwenye kumvua pichu yake aligoma na kunikatalia kisha kuvaa nguo zake na kwenda chumbani kwake.
Shemeji aliporudi akamwambia kuwa nilitaka kumbaka na nikaitwa mbele ya kaka na mbaya zaidi Baba yangu mzazi pia alikuwepo.Baba yangu ananiamini sana ila kwa hili amefadhaika sana na hataki hata kuniona lakini jana nimekaa na kaka na kumweleza yote kikubwa ameniomba niondoke kwake kuepusha migongano.
Kuna biashara ya samaki tulikuwa tunafanya na kaka pia bro amekataa tusifanye akisema nilichofanya hakivumiliki,mimi sijaoa bado ila sijui kwanini hawanisikilizi tena ukweli mpaka sasa sijajua huyu dada alikusudia nini kiukweli amenidhalilisha sana na kwa sasa nimeondoka kwa bro nipo kwa jamaa yangu anafundisha hapa SAUT.Naombeni msaada wenu wa mawazo nifanyeje wanielewe hasa baba yangu pia huyu binti nafikiria cha kumfanya sijajua bado.Samahani kwa maandishi mengi.