Naomba ushauri: Binti amenidhalilisha sana

Naomba ushauri: Binti amenidhalilisha sana

The Boss In Town

New Member
Joined
Jan 23, 2015
Posts
2
Reaction score
4
Salaam wakuu.

Mimi ni mgeni Jamii Forums ila hiki kisa kimefanya nije huku,naona niandike hapa angalau nipunguze hasira zangu.Kuna binti ni mdogo wake na shemeji yangu ambaye amekuja hivi karibuni kwa kaka yangu ambapo na mimi nakaa kwa muda maana nipo Mwanza kikazi hivyo kaka akasema sio vyema nikapanga kwa muda wa miezi miwili ya kukaa hapa Mwanza maana ni nyumbani kabla ya kurudi Arusha.

Sasa huyu binti kwa muda mrefu amekuwa akinitega kwa kunivalia nusu uchi hasa kaka na shemeji wakiwa hawapo,ni mnene kiasi,mfupi,mweupe pee kifupi ni mzuri sana na nimejizuia sana kumtongoza lakini kuna siku aninitega sana kwa kuacha matiti almost wazi kwa kuyabinua, zaidi sana alivaa nguo fupi ambayo akikaa kwenye kochi mapaja yote yanakuwa wazi.

Basi kidume nikakaa karibu na kumsifia alivyoumbika na nikamwambia hali yangu ni taabani nikimwangalia kifuani mwake na taratibu nikamshika mikono na akaachia bonge la tabasamu nikajua tupo pamoja,nikamshika vizuri na kuanza kumtomasa na kote huko alinipa ushirikiano baadae nikamla denda na kuanza kumvua taratibu lakini nilipofika kwenye kumvua pichu yake aligoma na kunikatalia kisha kuvaa nguo zake na kwenda chumbani kwake.

Shemeji aliporudi akamwambia kuwa nilitaka kumbaka na nikaitwa mbele ya kaka na mbaya zaidi Baba yangu mzazi pia alikuwepo.Baba yangu ananiamini sana ila kwa hili amefadhaika sana na hataki hata kuniona lakini jana nimekaa na kaka na kumweleza yote kikubwa ameniomba niondoke kwake kuepusha migongano.

Kuna biashara ya samaki tulikuwa tunafanya na kaka pia bro amekataa tusifanye akisema nilichofanya hakivumiliki,mimi sijaoa bado ila sijui kwanini hawanisikilizi tena ukweli mpaka sasa sijajua huyu dada alikusudia nini kiukweli amenidhalilisha sana na kwa sasa nimeondoka kwa bro nipo kwa jamaa yangu anafundisha hapa SAUT.Naombeni msaada wenu wa mawazo nifanyeje wanielewe hasa baba yangu pia huyu binti nafikiria cha kumfanya sijajua bado.Samahani kwa maandishi mengi.
 
umeandika tayari hasira zimeisha???????
 
Ulifanya kosa kubwa sana kutom---ba wakati umeisha mpandisha nyege kilicho mtamfte kwenye simu ujaribu kumuomba msamahaa.
 
mi naona umeficha ukweli ili huyo dada aonekane mbaya.
kuna watu wanatabia yakuvaa nguo fupi na hawamtegi yoyote sijui kilichofanya ujione wewe una mvuto kiasi chakutegwa ni nini?
mtu ambaye hujamtongoza mkaelewana unaanzaje kumvua nguo toa ubabaishaji hapa bora unmefukuzwa ungemvua nguo na mke wa kaka yako wewe
 
Dah poleeee sana labda hakutaka uwepo hapo...wazazi huwa wanasamehe na kuna siku baba yako atakuelewa tuu
 
When the deal is too simple think twice...pepo wa ngono hana adabu lakini usijali..

Hapo cha msingi ni kujituliza,jipe mda wa kutuliza fikra zako usiwaze mabaya wala usimchukie mtu.

wote wasiokuelewa wape mda.kaa mbali kwa mda na familia yako,vunja mawasiliano kwa mda,then watafute wazee huko kwenye asili yenu(kijijini,mjini popote)wazungumze na baba atakuelewa.

Kingine jitahidi sana kujijenga kiuchumi watakuelewa tu.

Kuhusu huyo mdada mpe mda wa kimtosha mkiendelea kuwa hai ipo siku atalipwa stahili zake.
 
Mwanamme mzima unashindwa kujitetea, ana ushahidi gani mpaka wazazi wamuelewe
 
Mapito tu hayo!! Uimara wako na umakini katika utetezi wako ndivyo vitakufanya ueleweke vyema kwa jamii yako. Fanya yamepita, usiruhusu hili likuyumbishe! Anzisha channels mpya za maisha then komaa na yako kwa muda fulani ili uweke maisha yako vyema ukiwa na lengo kwamba hasira za kila mmoja zishuke kwanza then baadae sana anza kutafuta mmoja mmoja uongee nae vizuri kuhusu kilichotokea!! Ukianza na muhusika
 
Shemeji yako anaonekana ana hila na wewe. Kukaa kwa ndugu walioanza familia ni kitu kibaya sana, na kwa maisha ya sasa hivi, ndugu zako watakuchukulia poa. Lakini upande mwingine utakuchukulia vibaya hasa upande wa aliyeolewa/aliyeoa kwa ndugu yako.
 
The Boss in Town hivi ulitegemea kabisa shemeji akubali kupanua mapaja umlale kwenye kochi la kakako na huku Baba yako mzazi akiwemo ndani?!!!

Hivi nyie maboss wa siku hizi busara zenu ziko wapi?! Nina uhakika ulichotaka kukifanya na shemejio ulikosea timing na ndicho hasa naye aligundua haraka akasitisha zoezi.

Mfanyabiashara ya samaki nenda ukae hotelini ili upate faragha uone kama hautawala mpaka ushindwe mwenyewe.
 
wewe kweli mzembe nina uwezo mkubwa wa kukataa jambo nililolifanya hata kama wameona watu wengi sembuse mmoja tu ??

utakua mchagga wewe wale wazembe wa kishimundu
 
Hii michezo ipo sana kwenye familia...inasaidia kupunguza watu ambao ni kula kulala!

Jamaa yangu alishikishwa kesi ya kutaka kumbaka mtoto wa uncle yake (less than 3 yrs old)....!
 
Back
Top Bottom