Naomba ushahuri wenu tafadhali

Naomba ushahuri wenu tafadhali

Joined
Dec 22, 2016
Posts
41
Reaction score
24
Habari za wakati huu wakuu. Nawasalimu sana.
Moja kwa moja kwenye hoja ya msingi "Naomba Ushauri Wenu Tafadhali".

Nina mchumba ambaye nimekwisha posa na kujitambulisha nyumbani kwao. Tumepanga kuoana mwezi wa saba.

Kwa bahati mbaya kwa sasa ninapitia kipindi kigumu kifedha, kiasi cha kushindwa kutimiza maandalizi ya ndoa na harusi.

Bado sijalipa mahari ( nimetozwa ndefu kidogo 6Millioni), na kiukweli kwa sasa hata kodi ya nyumba inanikimbiza. Mbaya zaidi binti ameshawatangazia watu wake wa karibu na kuwapa kadi za harusi.

Wazee nao wanasema walau nilipe milioni 3 kwanza ndo mambo yaendelee.

Nimejaribu kumwabia tufunge ndoa ya kawaidi (bila harusi) lakini binti, wazazi (wangu na wake) hawako tayari.

Ninaotamani kuomba kuahirisha lakini roho inakataa. Nifanyeje?

Asanteni
 
Unatozwa mahari milioni sita? na mengine yote uliyoyaelezea hapo, ushauri wangu ni kuwa jihadhari, kama wewe sio zwazwa, unaelekea kuwa zwazwa, kuwa makini unaoa au unaolewa mkuu?

By the way huyo mchumba anayesababisha utozwe milioni sita, ni bikira? Mwanamke na familia yake wameshakuzidi akili kabla ya mchezo, utaumia sana wewe.
 
Wewe ni dhaifu kuliko muongoza vikao vya dodoma...
Nakushauri uachane na mpango wa kuoa kwa sasa mpaka hapo utakapokomaa kimaamuzi vinginevyo huyo mke atakuendesha sana sio kwa sababu mkeo ni mtata sana! Hapana kwa sababu ww ni dhaifu mno
 
Mkuu pole sana

Kuhusu kuahirisha hapana

Fanya kitu kimoja kati ya hivi

Simama kama mwanaume kwa kuamua kuwe na sherehe au mchukuane sherehe mbele ya manako enda

Pili mahali uliyo pangiwa nenda wambie kwa sasa mambo hayako sawa na ukizingatia na mmesema sherehe razima ifanyike siwezi kufanya vyote kwa wakati

Mmoja kulingana na hali ya uchumi

Usipo kuwa mkweli utaumia kuingia katika madeni yasiyo na maana mwisho wa siku usifurahie ndoa yako


Mpange mchumba wako na umwambie maisha yaliyopo kuliko kuficha ukaumbuka
 
Pole sana bro, ila tu pamoja na kukupangia yote ayo wewe ndo mwenye maamuzi ya mwisho, kaachini angalia kipato chako kwa siku,week,mwez fanya kile kilicho ndani ya uwezo wako pia iyo ndoa ni tukio la siku moja japo linakumbuku lakn lisikuumize, ongea nao toa msimamo wako kama mwanaume, kama unashindwa kutoa maamuzi basi wewe ni dhaifu na ndoa itakushinda.
 
Bro samahani sana,
Unasema mahali mil6 ukakubali- UJINGA HUO
Bdo kodi inakukimbiza inaonekana unaishi nyumba yakupanga badala u struggle ununue hata kiwanja - UPUMBAVU HUO
Na bdo mchumba wako wanakupangia hawatak ndoa yakawaida - UZOBA HUO


Sasa unaelekea kwenye - USHOGA
 
Bro samahani sana,
Unasema mahali mil6 ukakubali- UJINGA HUO
Bdo kodi inakukimbiza inaonekana unaishi nyumba yakupanga badala u struggle ununue hata kiwanja - UPUMBAVU HUO
Na bdo mchumba wako wanakupangia hawatak ndoa yakawaida - UZOBA HUO


Sasa unaelekea kwenye - USHOGA
hahahahaahahahahaaaaaaaaaaaahaaaaaah
 
Bro samahani sana,
Unasema mahali mil6 ukakubali- UJINGA HUO
Bdo kodi inakukimbiza inaonekana unaishi nyumba yakupanga badala u struggle ununue hata kiwanja - UPUMBAVU HUO
Na bdo mchumba wako wanakupangia hawatak ndoa yakawaida - UZOBA HUO


Sasa unaelekea kwenye - USHOGA
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Bro samahani sana,
Unasema mahali mil6 ukakubali- UJINGA HUO
Bdo kodi inakukimbiza inaonekana unaishi nyumba yakupanga badala u struggle ununue hata kiwanja - UPUMBAVU HUO
Na bdo mchumba wako wanakupangia hawatak ndoa yakawaida - UZOBA HUO


Sasa unaelekea kwenye - USHOGA
Naomba ushahuri na sio matusi
 
Bro umetoa ushahuri mzuri sana kwangu. Mm sio dhaifu ila naitafuta hekima. Asante sana kwa ushahuri wako "mzuri"
Pole sana bro, ila tu pamoja na kukupangia yote ayo wewe ndo mwenye maamuzi ya mwisho, kaachini angalia kipato chako kwa siku,week,mwez fanya kile kilicho ndani ya uwezo wako pia iyo ndoa ni tukio la siku moja japo linakumbuku lakn lisikuumize, ongea nao toa msimamo wako kama mwanaume, kama unashindwa kutoa maamuzi basi wewe ni dhaifu na ndoa itakushinda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom