Naomba uje Maktaba Square...

Naomba uje Maktaba Square...

yaani wakati nasoma nilikuwa najisemea 'this s#*t only happens in the movies'
welcome back to zone reality, yaani unakaa miaka yoote unapika vitafunwa! yeleuwiiii
yep tena vitafunwa nilianza baada ya watoto wangu kwenda boarding na kunikatalia kusoma, ila plan ilikuwa nisome nipate kazi. Thanks to Mark nimesoma now nina degree na nina kazi.
tukutane chinese restaurant
hapana, makataba squre ndo mpango mzima
Thanks kwa Story nnazoziita za Kasinde.
Welcome buddy
Hata mimi nawapendaga sana wamama wauza vitafunio. Wako vizuri sana na Wako natural na jasho Lao lililochanganyika na moshi ni kama perfume vile ya Dubao
Hongera kuwafurahia wamama hao, thank God am no longer one of them, now am working. Nikipika vitafunwa ni vya familia yangu tuu.
alikuwa anasubiri awezeshwe.......
Hapana, kutii ni bora kuliko dhambi ya uchawi. Mume wangu alinioa nikiwa form six leaver na aliacha nilee watoto na kuhudumia familia bila kuwa na house girls, maana house girls nao ni janga la taifa. Pale watoto walipoenda boarding ndo nilipoomba kusomeshwa na mume wangu nijiendeleze kielimu ila alikataa. Sikumkaidi mume wangu nilimtii badala yake nilianza kupika vitafunwa na kuuza ambayo nayo ilikuwa ni kujituma si kukaa bure. Pale mume wangu alipofariki ndo nikakutana na Mark, kamwe sikuwa namsubiri Mark aniwezeshe la hasha u read me wrong!!
2kutane ubungo bus terminal
nop just maktaba square
Hivi hii stori inawafundisha nini wanawake? wawe mizigo ama?
kwa nini umefikiria wawe mzigo? hii inaonesha ni jinsi akili yako ilivotafsiri hii habari. Funzo ni kuwatii waume maana ningekaidi na kutaka kusomeshwa ingeleta mgogoro kwa mume wangu na hata vitumbua visingepikika. Kuukubali mtaji wa kupika vitafunwa asubuhi pia ni kuridhika na mume wangu anavotaka niende mradi tuu sivunji sheria wala sifanyi dhambi au kumsaliti.
Ila stori inasisimua kwaupande fulan da!
Thanks kwa kusisimka
How do you sleep at night? Being fed, clothed, etc by a man while you just sit your lazy ass?
I think we differ in perceptions.... the way we take issues and the way we see....
imefulia now!
Bora umeona it was chinese restaurant those years...
On the contrary. Wachangamke wawe na chao. Maisha magumu na enzi za kutegemeana zilipitwa na wakati.
Hamna hela tamu kama uliyoitolea jasho la halali.
It depends to the type of husband u are married with. Others like mine wanted a wife to take care of the family and he will take care of the costs. Until my children grew to secondary school then I started to look for another opportunity but on my husbands permission!!
Nilianza kuwa na hela yangu baada ya kuanza kupika vitafunwa.
 
kwa nini umefikiria wawe mzigo? hii inaonesha ni jinsi akili yako ilivotafsiri hii habari. Funzo ni kuwatii waume maana ningekaidi na kutaka kusomeshwa ingeleta mgogoro kwa mume wangu na hata vitumbua visingepikika. Kuukubali mtaji wa kupika vitafunwa asubuhi pia ni kuridhika na mume wangu anavotaka niende mradi tuu sivunji sheria wala sifanyi dhambi au kumsaliti.

Sina uhakika sana kama umeshawahi kufanya literature review au uchambuzi wa fasihi (zote andishi na simulizi).

Habari yako ina zaidi ya ujumbe mmoja na ndio maana pale juu niliamua kukuuliza ni nini muktadha wa habari yako?

Sio kwamba sijaona pande nyingine za kujadili, kutoka katika riwaya hiyo naziona sehemu nyingi tu zenye jumbe tofauti.

Kutoka katika simulizi yako kuna mahali kadha wa kadha ambapo kwa upeo wangu, riwaya inamuonesha mwanamke kama ni mzigo tu.

Mzigo una sifa kadha wa kadha:

1. Pasipo kubebwa au kuhamishwa kupelekwa eneo jipya basi utajibweteka hapo hapo na kama una sifa ya kuoza basi utaoza na kumalizika hapo hapo.

2. Mzigo unaweza kukandamizwa kandamizwa ili mradi tu suala la uchukuzi wake lifanikiwe.

Maelezo haya hapa chini kwa kiasi fulani yanahakisi sifa hizo hapo mbili za mzigo na wala sioni namna yoyote yakionesha eti mwanamke anamtii mwanaume.

Nanukuu kipengele hiki kama kilivyoandikwa:
Nilimvumilia mume wangu kwa mengi bila kulalama na baada ya watoto wote kwenda boarding sekondari nilimuomba mume wangu nisome chuo ili nijiendeleze kieleimu haikuwa hivyo, mume wangu alikataa katu katu na kunitaka nikae jikoni. Nilinyanyasika sana, nikatamani kufanya biashara walau nipate shilingi miatano ya jasho langu. Nikamuomba mume wangu ruhusa ya kufanya biashara aliruhusu kwa kunipa mtaji wa shilingi laki 1 niwe napika vitafunio vya chai asubuhi na kuuza.
 
3. Sifa nyingine ya mzigo ni kutokujua kiasi cha maumivu ayapatayo mchukuzi wala thamani ya mchukuzi.

Katika nukuu hii hapa chini kuna maandishi yanayoonesha kuwa hata maumivu ya mumeo ya namna alivyopata mali na kuzikusanya, hukuwa hata na chembe ya taarifa zake.

Baada ya mazishi ya mume wangu maisha yalikuwa magumu mnoo, mali za mume wangu sikuwahi zijua hata maana muda wote nilikuwa mama wa nyumbani na mpika vitafunio vya chai....
 
Asante kwa mawazo yako mchambuzi wa habari, all is wee and good.
I'll appreciate if u say more about the story like write all the lessons and not part as u have mention only 3 of them, proceed pls.
3. Sifa nyingine ya mzigo ni kutokujua kiasi cha maumivu ayapatayo mchukuzi wala thamani ya mchukuzi.

Katika nukuu hii hapa chini kuna maandishi yanayoonesha kuwa hata maumivu ya mumeo ya namna alivyopata mali na kuzikusanya, hukuwa hata na chembe ya taarifa zake.
 
Habari yako ina zaidi ya ujumbe mmoja na ndio maana pale juu niliamua kukuuliza ni nini muktadha wa habari yako?

Sio kwamba sijaona pande nyingine za kujadili, kutoka katika riwaya hiyo naziona sehemu nyingi tu zenye jumbe tofauti.
Speak about the other part of the story too, hizo pande nyingine hizoo....
 
Speak about the other part of the story too, hizo pande nyingine hizoo....

Hahah!!

Lakini bado hujanijibu swali langu la mwanzo kabisa...(Ni ujumbe upi wataka ufikisha kupitia riwaya hii?)

Hayo niliyoyaandika nilitaka kukuonesha kwa ufupi tu namna riwaya yako inavyoweza tuonesha ile dhana ya 'mzigo', kumbuka pale awali ulikinzana nami.

Sehemu nyingine hazina mgogoro wa kifikra hivyo na zieleweke kama zilivyoandikwa.
 
Lengo was mengi mojawapo utii kwa mume, mke lea familia yako mwenyewe achana na house girls pesa tafuta baadae, mwanaume ndo kichwa wa familia, etc na wewe umeona epi? Nilipingana na wewe coz u said one part only, do all...
Hahah!!

Lakini bado hujanijibu swali langu la mwanzo kabisa...(Ni ujumbe upi wataka ufikisha kupitia riwaya hii?)

Hayo niliyoyaandika nilitaka kukuonesha kwa ufupi tu namna riwaya yako inavyoweza tuonesha ile dhana ya 'mzigo', kumbuka pale awali ulikinzana nami.

Sehemu nyingine hazina mgogoro wa kifikra hivyo na zieleweke kama zilivyoandikwa.
 
Aiseeee! MMU KWA STORY BHANA.....
 
Lengo was mengi mojawapo utii kwa mume, mke lea familia yako mwenyewe achana na house girls pesa tafuta baadae, mwanaume ndo kichwa wa familia, etc na wewe umeona epi? Nilipingana na wewe coz u said one part only, do all...

Huu ndio ufafanuzi niliotaka toka kwako tangu hapo awali, nilitaka ufunguke zaidi na ndio maana niliweka maelezo yangu katika mtindo wa swali...

Wakati mwingine ninapouliza swali sio kwamba sina jibu au majibu, nia yangu huwa ni kuchokonoa mjadala ili kwamba wale walioachwa nyuma nao wapate kuelewa au mleta mada afunguke zaidi katika maelezo mepesi...
 
ila kiukweli nikimuona mwanamke ananyanyasika kiuchumi kwenye ndoa huwa namlaumu mama yake. ina maana mamake hakuona hata kwa majirani akajifunza na kumuelimisha mwanae? like for real?!
kila mwanamke lazma ajue kubalance kazi na malezi ya familia. kuacha kufanya kazi kwa kisingizio cha kulea sio kabisaa, kwani kama angekuwa single mother angeleaje? mume angekufa na hajaacha mali ingekuwaje? uvivu wa kike in the name ya kulea!

afadhali Natalia mumewe ni tajiri ndo maana she doesnt need to work, na pesa za mamake ni plan b.
alikuwa anasubiri awezeshwe.......
 
Last edited by a moderator:
mahaba niue + utii+ uvivu uliopitiliza = kukaa nyumbani kuletewa,
halafu wanalia lia kunyanyasika, wanasahau mwanaume yoyote anayekukataza kujishughulisha mara nyingi huwa mnyanyasaji
hadi hela ya chupi uombe?



ila kiukweli nikimuona mwanamke ananyanyasika kiuchumi kwenye ndoa huwa namlaumu mama yake. ina maana mamake hakuona hata kwa majirani akajifunza na kumuelimisha mwanae? like for real?!
kila mwanamke lazma ajue kubalance kazi na malezi ya familia. kuacha kufanya kazi kwa kisingizio cha kulea sio kabisaa, kwani kama angekuwa single mother angeleaje? mume angekufa na hajaacha mali ingekuwaje? uvivu wa kike in the name ya kulea!

afadhali Natalia mumewe ni tajiri ndo maana she doesnt need to work, na pesa za mamake ni plan b.
 
Huo mda me ndo nimeupenda yaan ni mda kamili..eg 'baada ya miaka mitatu'...'sasa nina miaka mitatu'
 
Back
Top Bottom