afkombo
Member
- Feb 9, 2008
- 93
- 11
Habari wana JF!!
Kuna habari nimeisoma kutoka BBCswahili
inasema kwamba Libya ilitawaliwa na Italy
mnamo mwaka 1911!!Mimi nasoma Medicine
lakini katika kumbukumbu zangu finyu za masomo
ya vidato nakumbuka kwamba historia inasema
kuna baadhi ya nchi za kiafrika hazikutawaliwa
ambazo miongoni mwa hizo ni Libya na Ethiopia!
Kwa hiyo habari hii inanichanganya kidogo!!
Naomba kama kuna mwenye ujuzi animegulie!!
fungua link chini
http://www.bbc.co.uk/swahili/news/story/2004/06/000000_dirayadunia.shtml
Natangulzia shukrani!!