falcon Q
JF-Expert Member
- Feb 28, 2023
- 797
- 2,133
Kwa mwenye ufahamu kuna hali imenikuta baada ya kutumia dawa za maumivu za dawa tatu.
Nikipapasa kichwani nahisi ngozi ina manundu manundu na hali kama ya kufa gazi hivi licha ya kwamba sihisi maumivu yoyote zaidi kama ka hali flani hv ka ulevi inanipa mashaka.
Naombeni mwongozo wataalamu
Nikipapasa kichwani nahisi ngozi ina manundu manundu na hali kama ya kufa gazi hivi licha ya kwamba sihisi maumivu yoyote zaidi kama ka hali flani hv ka ulevi inanipa mashaka.
Naombeni mwongozo wataalamu