Prince Messiah
Member
- Jul 29, 2018
- 6
- 1
Habarini wakuu,
Hivi ukipata ajali (ukigonga) na kuharibu gari lako na la mtu uliemsababishia ajali, ni taratibu gani za kufuata ili watu wa bima wahusike kucover gharama za matengenezo kama nima yako ni comprehensive?
Hivi ukipata ajali (ukigonga) na kuharibu gari lako na la mtu uliemsababishia ajali, ni taratibu gani za kufuata ili watu wa bima wahusike kucover gharama za matengenezo kama nima yako ni comprehensive?