KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Niliona kwa JK na kwa Magufuli, sijajua kwa Mh Mkapa na Mwinyi na Nyerere kama wazee wa mila waliwakatisha na kuwapa mkuki na ngao.
Naomba kujua/picha kama Mh Rais Samia Suluhu kama pia alipewa.
Naomba kujua/picha kama Mh Rais Samia Suluhu kama pia alipewa.