bro, hii course udom iko pouwa sana kaka, kamua jamaa anapiga mzigo sema tu ujitoe kwelikweli hakuna maksi za bure kama ulizoea bataWazee hii course imekaaje apo udom? je mkopo ni uhakika kwa asilimia ngapi natokea diploma..! Electrical
Kijana mkopo unapata hiy nearly full mana per semester utalipa ada kam 110,000 katika m 1.5, kuhus kusoma fresh sema ukaze sanaWazee hii course imekaaje apo udom? je mkopo ni uhakika kwa asilimia ngapi natokea diploma..! Electrical
nenda man me nimepiga hiyo paleNimesikia sifa zake asee
Mkuuu watu wanatoka tele kwenda electrcal,, lkn anyway jiandae kusoma tuu kama ulivyokuwa unapiga msuli advanceWazee hii course imekaaje apo udom? je mkopo ni uhakika kwa asilimia ngapi natokea diploma..! Electrical
Electrical iko good sana ni ivo tu mimi nina interest na tele na cha kukushauri kwa vile ww ni freshers electrical haitakutesa kwenye soko la ajili haraka utapata kazi mimi pia niliamua kuanza na electrical diploma ili niwe employed halafu ndo nifate interest telecommunication ngazi ya degree+masters nakuendeleaMkuu vipiii mbona unaikmbia electrical.. Nipee uzoefuu kidgo mana me nmetoka six mwaka huu nmeiaply hyo electrical nasblia selection hapa
Poa poa jamaaa..Electrical iko good sana ni ivo tu mimi nina interest na tele na cha kukushauri kwa vile ww ni freshers electrical haitakutesa kwenye soko la ajili haraka utapata kazi mimi pia niliamua kuanza na electrical diploma ili niwe employed halafu ndo nifate interest telecommunication ngazi ya degree+masters nakuendelea