Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya bachelor of science in health information systems

Requirements ipoje na je ina mkopo %ngp vp kuhusu ajira yake

Points kuanzia 4:5 ila lakini ni lazima uexceed point zaidi ya hizo ili kuendana na competition iliyopo kwa sasa.

Mkopo ni non-priority so kuhusu mkopo ni very complication.
 
Nijibu kwanza wwe ni Katibu wa Afya wa wapi na umemaliza mwaka gani,
DAAHHH Namkumbuka Dr. Gellejah, enzi za kukata kiu Mzumbe ilikuwa raha sana
Nasikia siku hizi Kamuzora alikataza kiu so chuo kimekuwa kama seminari
 
Points kuanzia 4:5 ila lakini ni lazima uexceed point zaidi ya hizo ili kuendana na competition iliyopo kwa sasa.

Mkopo ni non-priority so kuhusu mkopo ni very complication.

shukran mkuu,
1) umesema mkopo kwenye hiyo kozi inasumbua ni kwa waliomaliza Adv na kozi za arts au mpka sayansi eg. PCB NA CBG etc.
2) Na kuhusu waliotoka diploma kozi za afya wenye GPA nzuri mkopo huwa wanapatiwa asilimia mia wanapojiendeleza kwenye kada hiyo inakuwaje kwenye hiyo kozi ya HSM?

3) Nnapenda kufahamu hiyo kozi mnapo hitimu munakuwa na kazi zipi kwenye kada ya afya na mnafanya kazi vitengo gani kwenye sekta ya afya?

4) soko la ajira kwa ujumla kwenye kozi hiyo pia huwa wanatumia mfumo gani kuajiriwa maana sijawahi kusikia ajira zikitangazwa kwenye sekta ya afya inayo husisha hiyo kozi.

5) Mwisho napenda unifahamishe mazingira ya hapo mzumbe kwenye kusoma hiyo kozi mf. Wakufunzi wa masomo husika etc.

Shukran mkuu kwa moyo wa kujitolea kutuelimisha naamin ukinijibu maswali yangu utakuwa umewasaidia wengi sana.
 
shukran mkuu,
1) umesema mkopo kwenye hiyo kozi inasumbua ni kwa waliomaliza Adv na kozi za arts au mpka sayansi eg. PCB NA CBG etc.
2) Na kuhusu waliotoka diploma kozi za afya wenye GPA nzuri mkopo huwa wanapatiwa asilimia mia wanapojiendeleza kwenye kada hiyo inakuwaje kwenye hiyo kozi ya HSM?

3) Nnapenda kufahamu hiyo kozi mnapo hitimu munakuwa na kazi zipi kwenye kada ya afya na mnafanya kazi vitengo gani kwenye sekta ya afya?

4) soko la ajira kwa ujumla kwenye kozi hiyo pia huwa wanatumia mfumo gani kuajiriwa maana sijawahi kusikia ajira zikitangazwa kwenye sekta ya afya inayo husisha hiyo kozi.

5) Mwisho napenda unifahamishe mazingira ya hapo mzumbe kwenye kusoma hiyo kozi mf. Wakufunzi wa masomo husika etc.

Shukran mkuu kwa moyo wa kujitolea kutuelimisha naamin ukinijibu maswali yangu utakuwa umewasaidia wengi sana.

ukitujibu maswali haya nadhani utakua msaada mkubwa sana mimi nipo fm6 pia napenda hiyo koz mtoa mada plz tudadavulie kiundani
 
shukran mkuu,
1) umesema mkopo kwenye hiyo kozi inasumbua ni kwa waliomaliza Adv na kozi za arts au mpka sayansi eg. PCB NA CBG etc.
2) Na kuhusu waliotoka diploma kozi za afya wenye GPA nzuri mkopo huwa wanapatiwa asilimia mia wanapojiendeleza kwenye kada hiyo inakuwaje kwenye hiyo kozi ya HSM?

3) Nnapenda kufahamu hiyo kozi mnapo hitimu munakuwa na kazi zipi kwenye kada ya afya na mnafanya kazi vitengo gani kwenye sekta ya afya?

4) soko la ajira kwa ujumla kwenye kozi hiyo pia huwa wanatumia mfumo gani kuajiriwa maana sijawahi kusikia ajira zikitangazwa kwenye sekta ya afya inayo husisha hiyo kozi.

5) Mwisho napenda unifahamishe mazingira ya hapo mzumbe kwenye kusoma hiyo kozi mf. Wakufunzi wa masomo husika etc.

Shukran mkuu kwa moyo wa kujitolea kutuelimisha naamin ukinijibu maswali yangu utakuwa umewasaidia wengi sana.

I just wanted to ask the same things..
 
aliyeanzisha huu uzi ametokomea kusikojulikana hivyo wadau kwa mwenye kujua kuhusu ayo maswali apo juu atujibie plz
 
Wadau mdogo wangu kasoma hkl na kafaulu vizur kwa distinction na amechagua kozi tajwa hapo juu. Vip si kuna uwezekano wa kupata? Na vip kuhusu soko la ajira?
 
Hiyo coz sio ya science ni management of health so sidhn kama ww wa PCB itakufaa nijuavyo mmi umo wamejazana hkl na wengineo yan mangwine ila n kozi nzuri sana kama ww upo arts nakushauri omba hyo kozi ndo bado ipo marketable nd kuhusu ajila unakula hawa watu wanaitwa makatibu afya
 
Wadau mdogo wangu kasoma hkl na kafaulu vizur kwa distinction na amechagua kozi tajwa hapo juu. Vip si kuna uwezekano wa kupata? Na vip kuhusu soko la ajira?

soko la ajira gumu,kujiajiri pia ngumu, mshauri asomee kitu kingine....kwanza mkopo tu ni shida.
 
Back
Top Bottom