Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani simu yako unaitumia kuingia JF tu?Habari Wakuu.Tafadhali naomba mtu anijuze kwa habari ya kampuni inayoitwa Confidential,ipo Dodoma.naomba anijuze kuhusu maslahi yako,tamaduni zoa na kama anafaham taarifa za kazi zao,wamiliki n.k.
Ahsanteni
Uwe na adabu kama hauna jibu unaweza kukaa kimya.Confidential tutajua kweli mambo yao?
Umeombwa hela nini upewe majibu ya interview mkuu.
NdioKwani simu yako unaitumia kuingia JF tu?
JF shida sana. Mtu unaweza tukanwa hata na mwanao walahi.Uwe na adabu kama hauna jibu unaweza kukaa kimya.
Bwana mdogo anasema shika adabu wakati ndo ajira yake ya kwanza.JF shida sana. Mtu unaweza tukanwa hata na mwanao walahi.
Haya bwana Israeli nimeshashika adabu. Nakutakia mafanikio mema na kampuni ya Confidential
Ambayo hata hajaipata! Na likely ni zile ajira za kupigwa.Bwana mdogo anasema shika adabu wakati ndo ajira yake ya kwanza.
una matatizo ya akili wewe,jambo usilolijua ni kama usiku wa gizaAmbayo hata hajaipata! Na likely ni zile ajira za kupigwa.
Haya bwana ngoja sisi tushike adabu zetu
AhsanteJF shida sana. Mtu unaweza tukanwa hata na mwanao walahi.
Haya bwana Israeli nimeshashika adabu. Nakutakia mafanikio mema na kampuni ya Confidential
kwa kauli hizi,una safari ndefu ya maishauna matatizo ya akili wewe,jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Google haishikiNdio
Hivi ukisoma tu huu uzi wako tangu comment ya kwanza hadi ya mwisho unashindwa kabisa kuona nani ana matatizo ya akili kati yangu na wewe? Kweli kabisa?una matatizo ya akili wewe,jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Nimechek google hakuna info yao wala websiteGoogle haishiki
Jamii forum ni sehemu ya ustaharabu na ambayo nilishawahi kuitumia kupata msaada na taarifa sahihi,sasa niliulizwa swali kiungwana kwa maana ya kwamba mtu mwenye taarifa ya hapo angalinipa lakini wengine wanajib masihara.Ndio maana nikasema jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.Hivi ukisoma tu huu uzi wako tangu comment ya kwanza hadi ya mwisho unashindwa kabisa kuona nani ana matatizo ya akili kati yangu na wewe? Kweli kabisa?
Anhaa nashukuru,labda maana taarifa zake zimejificha kweliItakuwa Kampuni Ya Siri Sana ..kama TISS vile
Ni kweli ahsantekwa kauli hizi,una safari ndefu ya maisha
Ila ujuwe, ukimtukana mmoja, ni kama umetukana wote. Hakuna anayesubiria atukanwe yeye ndo aone wewe una matusiNi kweli ahsante