Naomba ufafanuzi kuhusu hili la SSD katika Computer

Naomba ufafanuzi kuhusu hili la SSD katika Computer

Kwanza tuelewe zote ni storage. Tofauti ya yake kubwa ipo katika reading of data. Hard disk yenyewe ina disk kwa ndani ambayo inatumia teknolojia ya magnet kuread and write data. Hii disk inakuwa inazunguka kwa kasi sana ili data zisome kwa kasi zaidi. Kukosa kasi kwenye mzunguko wa disk ndivyo inavyokuwa slow kwenye reading ya data.

Kwa upande wa solid state disk yenyewe haina disk kwa ndani ndio maana inaitwa solid state. Kwa maana iyo ssd inatengenezwa katika sysytem ambayo infanyakazi bila kuwa na spin disk au magnet ili kuread and write data.

Kwa upande wa size ya disk zote mbili ni sawa kabisa. Yaani ukiwa na data za gb128 kwenye magnet disk ni sawa na za kwenye solid state disk.

N. B: tofauti ya ufanyaji kazi kati ya zote mbili ambapo ssd ni fasta sana ndio imeleta utofauti wa bei. Yaani ikiwa utacopy data za gb128 kwa pamoja kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine na ikiwa sehemu unazopeleka moja ni ssd na nyingine ni hdd basi mwenye ssd atamaliza mapema zaidi wakati wa hdd akiendelea kusubiri imalize.

.....mtanisamehe kwa uandishi mbovu kwa ambao hamtaweza kuelewa.....
Kikubwa ambacho nilitegemea ukiseme ni Compactness na Rigidness! Speed and Form factor!

Rigidness:
Kinachofanya bei ya Solid state iwe juu ni kwamba yenyewe haiko fragile kama hard disc kwa maana usalama wake pamoja na data ulizohifadhi uko juu hata ukiangusha computer bahati mbaya sio HDD kuharibika!

Compactness:
Solid state drive ni ndogo kwa umbo, mfano halisi ni kama memory card ilivyo. Hii inawezesha kutengeneza laptop ambazo ziko more portable ama zile viwembe nyembamba sana!

Speed
Speed yake huwa ni kubwa compared to hard drive. This means the read and write speeds!

Form factor:
Solid state does not involve moving parts like Hard Disk Drives! This saves a lot in power consumption sababu mzunguko wa hard disc kwa muda mrefu pamoja na fan ya computer unachangia sana ulaji wa charge kwenye mashine! Solid state haitumii umeme mwingi kama Hard disk technological wise!

Hizi ndio sababu kuu za SSD kuwa bei juu kuliko HDD
 
Kutengenezeka nafaham ni nadra sana, chakufanya unaweza chukua important data ukaweka kweny storage zingine i.e Memory Card au Flash Disk af iyo HDD uitoe uweke nyingine then jaribu kutumia iyo ulioitoa kama external huwa hazizingui sana kama nilivofanya kwangu

NLa!
Nimeifungua nmekuta disc na platter ina tu vumbi vumbi..
IMG_20210428_093553_4.jpg
 
Bora kabisa hizi SSD make haya ma HDD yanazingua sana, yanakufa hovyo hapa moja limekufa nmepoteza na data zangu nyingi sana..
HDD inakufa Sababu Ina moving parts na ssd vile vile inakufa Sababu ina limited no ya read/write cycle.

Unaweza ukakuta desktop ya miaka 20 iliopita ina HDD ambayo inafanya kazi muda wote, ila hutakuta SSD ya zamani inafanya kazi muda wote.

Makampuni makubwa yenye sensitive data bado yanatumia hdd kama reliable source ya kuhifadhia data, pia ni ngumu kukutaa bad blocks kwenye HDD compare na SSD.

Hivyo kila moja ina advantage na disadvantage yake.
 
HDD inakufa Sababu Ina moving parts na ssd vile vile inakufa Sababu ina limited no ya read/write cycle.

Unaweza ukakuta desktop ya miaka 20 iliopita ina HDD ambayo inafanya kazi muda wote, ila hutakuta SSD ya zamani inafanya kazi muda wote.

Makampuni makubwa yenye sensitive data bado yanatumia hdd kama reliable source ya kuhifadhia data, pia ni ngumu kukutaa bad blocks kwenye HDD compare na SSD.

Hivyo kila moja ina advantage na disadvantage yake.
Mkuu nmejaribu kuichokonoa chokonoa hapa mwishoe nimeifunga nashangaa imekubali kusoma japokua ni nzito sana kuload files, Lakini shida angu nitoe data zangu tu muhimu..

At least imesoma make ilikua untedectable kabisa..
IMG_20210428_144651_3.jpg
 
Mkuu nmejaribu kuichokonoa chokonoa hapa mwishoe nimeifunga nashangaa imekubali kusoma japokua ni nzito sana kuload files, Lakini shida angu nitoe data zangu tu muhimu..

At least imesoma make ilikua untedectable kabisa.. View attachment 1766503
Me pia ninayo gb.500 nikiweka siion ils kwenye manager kule naiyona ila initializing
 
Back
Top Bottom