Naomba ufafanuzi kuhusu CVT Sport

sisi ni ndugu

Senior Member
Sep 4, 2018
121
135
Wadau mambo ni vp? kuna hii kitu inaandikwa CVT SPORT katika magari baadhi, naomba kujuzwa ni nn? kazi yake nn? inatakiwa kutumika wap?
 
first, pole kwa kununua gari yenye CVT Transmission/Gearbox, basically CVT Sport ni setup/mode inayokuruhusu kubadili gears manually kwa kutumia paddle shifters zilizopo chini ya usukani both kushoto na kulia, au kwa kutumia shift knob kwa kufuata alama + na -. Vile vile kwa baadhi ya magari pale unapochagua Sport Mode, engine na gearbox/Transmission zote ubadili ECU mapping na kukupa short gears kwa maana gead hubadilika kwa kifupi kulingana na RPM/Mzunguko wa engine yako.

Vile vile kwa baadhi ya magari yenye adaptive suspension, utakapochagua Sport hii huenda mbali hadi kwenye shock ups na kuzifanya kuwa ngumu, ili kupunguza mnepo na mlalo wakati wa corner kali(body roll), hapa utapoteza umaridadi wa mtikisiko wa gari kwenye barabara zenye mashimo na mabondebonde.

Pia ikumbukwe kuwa CVT Gearbox nyingi zinasumbua sana, hivyo jitahidi kuibembeleza na kutoipa mzigo mkubwa, kwa maana ikileta tabu mafundi wa hizo gearbox hamna.

Pia subiri wadau wengine wenye maono tofauti.
 
CVT (continuously variable transmission) ni mfumo wa gear box ambayo hauna Gia za kujipanga kama hizi automatic za kawaida...
hizi gari za mfumo wa CVT (ikiwemo na Yangu pia) zinachanganya mapema mno na kama utatumia sports mode ndiyo inakuwa balaa maana Ile toque inakuwa mara 2 ya hizi automatic za kawaida pia sports mode ni tofauti kidogo na over speed (OS) kwasabb OS inatumika hasa gari ikishafikisha speed 60km/h tofauti na CVT transmission/sport mode hii unaweza kuitumia hata Kwenye speed 30 na gari itachanganya kama kawaida..

leo mida ya asubuh saa 12 nimewatesa Sana jamaa wa spacio,raum na wish barabara ya buguruni - ubungo mpaka wamechoka kunifata najua kila mmoja wao lazima asimulie Ile Hali waliyokutana nayo asubuh
 
CVT (continuously variable transmission) ni mfumo wa gear box ambayo hauna Gia za kujipanga kama hizi automatic za kawaida...
hizi gari za mfumo wa CVT (ikiwemo na Yangu pia) zinachanganya mapema mno na kama utatumia sports mode ndiyo inakuwa balaa maana Ile toque inakuwa mara 2 ya hizi automatic za kawaida pia sports mode ni tofauti kidogo na over speed (OS) kwasabb OS inatumika hasa gari ikishafikisha speed 60km/h tofauti na CVT transmission/sport mode hii unaweza kuitumia hata Kwenye speed 30 na gari itachanganya kama kawaida..

leo mida ya asubuh saa 12 nimewatesa Sana jamaa wa spacio,raum na wish barabara ya buguruni - ubungo mpaka wamechoka kunifata najua kila mmoja wao lazima asimulie Ile Hali waliyokutana nayo asubuh
jitahidi sana kuitunza, na kuifanyia services za kila mara.. CVT Tranny ni moja kati ya Transmissions zinazosumbua sana watumiaji, hivyo unapoipa mzigo kila mara wear out itatokea fasta sana
 
Uchawi wa CVT ni ukitumia fluid tofauti na iliyoandikwa kwenye deep stick imekula kwako...Juzi duka moja nimeona dumu la lita 4 limeandikwa Universal CVT fluid....kaa mbali na hizi fluid..

Ukibadilisha CVT fluid, flush radiator na uweke coolant mpya....endapo gari lako ni Nissan.

CVT fluid hakikisha ipo level inayotakiwa isizidi wala isipungue..


Epuka kuondoka kwa mwendo mkali yaani kukanyaga mafuta mpaka pedo ifike sakafuni pale unapoingia main road....kanyaga taratibu acha gari lichanganye lenyewe..

Ukizingatia hayo utanishukuru baadae.
 
first, pole kwa kununua gari yenye CVT Transmission/Gearbox, basically CVT Sport ni setup/mode inayokuruhusu kubadili gears manually kwa kutumia paddle shifters zilizopo chini ya usukani both kushoto na kulia, au kwa kutumia shift knob kwa kufuata alama + na -. Vile vile kwa baadhi ya magari pale unapochagua Sport Mode, engine na gearbox/Transmission zote ubadili ECU mapping na kukupa short gears kwa maana gead hubadilika kwa kifupi kulingana na RPM/Mzunguko wa engine yako.

Vile vile kwa baadhi ya magari yenye adaptive suspension, utakapochagua Sport hii huenda mbali hadi kwenye shock ups na kuzifanya kuwa ngumu, ili kupunguza mnepo na mlalo wakati wa corner kali(body roll), hapa utapoteza umaridadi wa mtikisiko wa gari kwenye barabara zenye mashimo na mabondebonde.

Pia ikumbukwe kuwa CVT Gearbox nyingi zinasumbua sana, hivyo jitahidi kuibembeleza na kutoipa mzigo mkubwa, kwa maana ikileta tabu mafundi wa hizo gearbox hamna.

Pia subiri wadau wengine wenye maono tofauti.

Kwa nini unampa pole kwa kuwa na CVT. Inategemea jni gari gani. Sio mdadisi sana ila CVT kama iliyoko kwenye SUBARU sijawahi kusikia kama ni tatizo. Kwenye Nissan (hasa Murano) nimeshasikia story zake za kutisha
 
Uchawi wa CVT ni ukitumia fluid tofauti na iliyoandikwa kwenye deep stick imekula kwako...Juzi duka moja nimeona dumu la lita 4 limeandikwa Universal CVT fluid....kaa mbali na hizi fluid..

Ukibadilisha CVT fluid, flush radiator na uweke coolant mpya....endapo gari lako ni Nissan.

CVT fluid hakikisha ipo level inayotakiwa isizidi wala isipungue..


Epuka kuondoka kwa mwendo mkali yaani kukanyaga mafuta mpaka pedo ifike sakafuni pale unapoingia main road....kanyaga taratibu acha gari lichanganye lenyewe..

Ukizingatia hayo utanishukuru baadae.
Pia kuna Jambo moja muhimu Kwa CVT transmission hasa Kwenye foleni watalaamu wanashauri matumizi ya neutral (N) na sio parking (P)....
Madereva wengi wamezoea kutumia parking Kwenye foleni kitu ambacho ni hatari na unaichosha Sana gear box
 
Kwa nini unampa pole kwa kuwa na CVT. Inategemea jni gari gani. Sio mdadisi sana ila CVT kama iliyoko kwenye SUBARU sijawahi kusikia kama ni tatizo. Kwenye Nissan (hasa Murano) nimeshasikia story zake za kutisha
Kama inawezekana, kaa mbali na CVT Transmission either nunua Standard/Manual au Automatic za kawaida.. CVT transmissions zinazingua kwa ujumla, zinavyozidi kuzeeka ndiyo matatizo huanza kujitokeza. Fanya utafiti wako mwenyewe utajionea.
 
Kama inawezekana, kaa mbali na CVT Transmission either nunua Standard/Manual au Automatic za kawaida.. CVT transmissions zinazingua kwa ujumla, zinavyozidi kuzeeka ndiyo matatizo huanza kujitokeza. Fanya utafiti wako mwenyewe utajionea.
Namna ya utunzaji Tu ndiyo kitu cha muhimu hata hiyo ATF TRANSMISSION kama utashindwa kufanya service Kwa wakati itazingua Tu,pia kuna baadhi ya lwadau hapo wametoa ushauri namna ya lkutunza haya Magari hasa Kwa upande wa uendeshaji maana hapa ndiyo TATIZO linapoanzia...

Chukulia mfano gari yako iendeshwe na watu tofauti kila siku hapo unategemea gari itadumu? Au unakanyaga pedal Hadi chini huku gari ikiwa Kwenye speed 30, sometimes wadereva wengi hawajui lolote zaidi kunyoosha barabaran
 
Namna ya utunzaji Tu ndiyo kitu cha muhimu hata hiyo ATF TRANSMISSION kama utashindwa kufanya service Kwa wakati itazingua Tu,pia kuna baadhi ya lwadau hapo wametoa ushauri namna ya lkutunza haya Magari hasa Kwa upande wa uendeshaji maana hapa ndiyo TATIZO linapoanzia...

Chukulia mfano gari yako iendeshwe na watu tofauti kila siku hapo unategemea gari itadumu? Au unakanyaga pedal Hadi chini huku gari ikiwa Kwenye speed 30, sometimes wadereva wengi hawajui lolote zaidi kunyoosha barabaran
mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye kukanyaga pedal huku speed ni 30
 
mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye kukanyaga pedal huku speed ni 30
Ok.....
Kwa mfano unaingia barabaran huku gari ikiwa inatembea mwendo mdogo Sana Kwa speed 20 - 30 sasa ghafla unakanyaga pedal Kwa nguvu Hadi Kwenye kibati huku gari ikiwa bado haijachanganya vizuri pia hata RPM inakuwa bado IPO chini ya 1 Kwa kufanya hivyo unasababisha matatizo Kwenye gear box na crankshaft pia.

Kumbuka crankshaft na gear box zitafanya kazi Kwa haraka huku gear ikiwa bado ni namba 1 yaani Kwa msukumo wa pedal ambayo umetumika ulitakiwa utumike Kwenye gear namba 4 na sio namba 1 au 2
 
Kama inawezekana, kaa mbali na CVT Transmission either nunua Standard/Manual au Automatic za kawaida.. CVT transmissions zinazingua kwa ujumla, zinavyozidi kuzeeka ndiyo matatizo huanza kujitokeza. Fanya utafiti wako mwenyewe utajionea.
CVT ndiyo zinakuja kureplace Ordinary automatic gear box...

Ni kweli magari mengi ya cvt yamekuwa na changamoto kwa sababu ndiyo technolojia mpya, inaenda ikiboreshwa....Watengenzaji wa magari sasa hivi wqnajikita kwenye cvt kwa gari ndogo..

Walianza Nissan, sasa hivi Toyota, Subaru, Mitsubishi nyingi tu zina CVT....kikubwa kwenye CVT ni kugmfuata masharti....hakuja janja janja kwenye cvt..

Ninaendesha CVT kwa miaka 6na nusu sasa...
 
CVT (continuously variable transmission) ni mfumo wa gear box ambayo hauna Gia za kujipanga kama hizi automatic za kawaida...
hizi gari za mfumo wa CVT (ikiwemo na Yangu pia) zinachanganya mapema mno na kama utatumia sports mode ndiyo inakuwa balaa maana Ile toque inakuwa mara 2 ya hizi automatic za kawaida pia sports mode ni tofauti kidogo na over speed (OS) kwasabb OS inatumika hasa gari ikishafikisha speed 60km/h tofauti na CVT transmission/sport mode hii unaweza kuitumia hata Kwenye speed 30 na gari itachanganya kama kawaida..

leo mida ya asubuh saa 12 nimewatesa Sana jamaa wa spacio,raum na wish barabara ya buguruni - ubungo mpaka wamechoka kunifata najua kila mmoja wao lazima asimulie Ile Hali waliyokutana nayo asubuh

CVT ni gearbox nzuri sana kama mtu anajua matunzo. Iko smooth sana kwenye kubadili gear. Haina shift shift points kama zilivyo conventional Automatic transmission. Pia inachanganya haraka.

Ila hapo kwenye kuchanganya haraka baba lao ni gearbox moja inaitwa DSG (Direct Shift Gearbox). Hii gearbox mtumiaji mkubwa ni gari zinazotengenezwa na VW group (Volkswagen, Audi kwa gari zinazokuja huku kwhetu, ila pua kuna Skoda na Seat ambazo haziuzwi huku kwetu).

Ebwana hiyo gearbox ipo kama gearboc ya manual ila inakuwa na Clutch band mbili. Moja kwa ajili ya even gears na moja kwa ajili ya Odd gears na zinapokezana kufanya kazi. Pia nayo iko smooth kama CVT. Ila kwenye kuchanganya DSG ni kiboko.

Nimeshaiona imefungwa pia kwenge BMW 3 series Coup.
 
Uchawi wa CVT ni ukitumia fluid tofauti na iliyoandikwa kwenye deep stick imekula kwako...Juzi duka moja nimeona dumu la lita 4 limeandikwa Universal CVT fluid....kaa mbali na hizi fluid..

Ukibadilisha CVT fluid, flush radiator na uweke coolant mpya....endapo gari lako ni Nissan.

CVT fluid hakikisha ipo level inayotakiwa isizidi wala isipungue..


Epuka kuondoka kwa mwendo mkali yaani kukanyaga mafuta mpaka pedo ifike sakafuni pale unapoingia main road....kanyaga taratibu acha gari lichanganye lenyewe..

Ukizingatia hayo utanishukuru baadae.
Ushauri Murua huu.
 
CVT (continuously variable transmission) ni mfumo wa gear box ambayo hauna Gia za kujipanga kama hizi automatic za kawaida...
hizi gari za mfumo wa CVT (ikiwemo na Yangu pia) zinachanganya mapema mno na kama utatumia sports mode ndiyo inakuwa balaa maana Ile toque inakuwa mara 2 ya hizi automatic za kawaida pia sports mode ni tofauti kidogo na over speed (OS) kwasabb OS inatumika hasa gari ikishafikisha speed 60km/h tofauti na CVT transmission/sport mode hii unaweza kuitumia hata Kwenye speed 30 na gari itachanganya kama kawaida..

leo mida ya asubuh saa 12 nimewatesa Sana jamaa wa spacio,raum na wish barabara ya buguruni - ubungo mpaka wamechoka kunifata najua kila mmoja wao lazima asimulie Ile Hali waliyokutana nayo asubuh
Kwamba hio Rumion ina CVT?
 
Kwa nini unampa pole kwa kuwa na CVT. Inategemea jni gari gani. Sio mdadisi sana ila CVT kama iliyoko kwenye SUBARU sijawahi kusikia kama ni tatizo. Kwenye Nissan (hasa Murano) nimeshasikia story zake za kutisha
Manufacturer wa Gearbox za CVT za Nissan ambaye ni JATCO ametengeneza Gearbox vimeo sana. Kuna Nissan hizi zimepewa malalamiko sana kuhusu gearbox.

1. Sentra 2005, 2007, 2008 mpaka 2017.

2. Altima 2011 mpaka 2017

3. MAXIMA 2004 mpaka 2016

4. Juke 2010 mpaka 2017

5. Rogue na Rogue Sport 2008 mpaka 2017.

6. Murano 2003 mpaka 2017

7. Cube 2009 mpaka 2013.

Hizo zote ni CVT.

Zipo na zingine lakini haziuzwi kwenye soko la huku kwetu.

Hizo gari wanasema zikishaanza kufika 70,000Km basi uanze kujiandaa kisaikolojia. Malalamiko ni mengi sana.
 
Back
Top Bottom