Naomba ufafanuzi kuhusu adhabu ya Basil Mramba na wenzie

DITOPILE WAPILI

JF-Expert Member
Oct 19, 2015
376
256
Habari zenu wanaJF
Naomba kujua kuhusu utekelezaji wa adhabu waliopewa waliokuwa mawaziri Basil Mramba na wenzie.

Adhabu hiyo bado inaendelea? Au ndio basi imekwisha?

Kwani walitakiwa kufanya ili adhabu kwa muda gani?

Kama wanaendelea kufanya wanafanya kila siku au siku maalum tu? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi wanakuwa eneo lao la kazi?

Kama kwa siku maalum je nisiku gani wanakuwa pale Hospital ya Sinza Palestina?

Wanaripoti kwa nani wanapokuwa wanakwenda eneo la kazi ya jamii?

Je? Kuna sheria inayowaruhusu kubadilishiwa eneo la kazi au kusamehewa adhabu hiyo kimya kimya, bila kuripotiwa kwa jamii?

Huu ni mjadala
 
Habari zenu wanaJF
Naomba kujua kuhusu utekelezaji wa adhabu waliopewa waliokuwa mawaziri Basil Mramba na wenzie.

Adhabu hiyo bado inaendelea? Au ndio basi imekwisha?

Kwani walitakiwa kufanya ili adhabu kwa muda gani?

Kama wanaendelea kufanya wanafanya kila siku au siku maalum tu? Kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi wanakuwa eneo lao la kazi?

Kama kwa siku maalum je nisiku gani wanakuwa pale Hospital ya Sinza Palestina?

Wanaripoti kwa nani wanapokuwa wanakwenda eneo la kazi ya jamii?

Je? Kuna sheria inayowaruhusu kubadilishiwa eneo la kazi au kusamehewa adhabu hiyo kimya kimya, bila kuripotiwa kwa jamii?

Huu ni mjadala
Utulikuwa tunapishana sana kijiweni, wajuzi tunaomba mtufahamishe.
 
Yes,bado wapo wanaendelea kufanya kaz za Community service Hospital ya sinza palestina.
Wanasimamiwa na Supervising officer aliyeteuliwa na Community service officer mbele ya mahakama.Supervising officer hapa atakua in charge wa hospital ya palestina.

Wanafanya kaz masaa ma4 tu kwa siku kila siku jumatatu mpk ijumaa.
Lazima ufike na uripot na usign kwa supervisng officer before and after na lazima waoneshe sehem waliofanya kaz hiyo siku hakuna kudoji.
Kifungo nadhan kinaisha Nov ila am not sure nahis.
Endapo kama kama wakipatwa na matatizo makubwa ya kiafya na mpk ithibitishwe na hospital kubwa ya serikal kama ni kwel ndipo wanaweza kubadilishiwa adhab na kuwekwa kwenye probation ingawa kabla hawajaja kwenye kifungo cha nje uchunguz ulifanywa na Community service na kugundulika kua wanauwezo wa kufanya kaz za kijamii na ndio maana wakatolewa jela wakaletwa watumikie adhab iyo.
Monday to Friday daily,four working hours,No excuse.Mpk mwisho wa adhab yao na wakimaliza wanapewa Certificate na Community service officer.
Nadhan utakua umeridhika na majib yangu.
 
Si shooting za video yao iliisha! Au unataka waendelee kupiga picha eneo hilohilo tu?
Nchi hii sijui wanaofanya maamuzi uwezo wa bongo zao ni sawa? Kina Mramba na wafungwa wengine mnawapeleka kuokota mifuko ya plastiki kweli!!! Huku wana taaluma ambazo wangeweza kupangiwa vipindi kwenye shule zetu za kata walizopo na kuwafundisha watoto wetu. Hebu huko magereza wapewe watu creative na si kutumia raslimali watu vibaya hivi bila tija ya maana.
 
N
Yes,bado wapo wanaendelea kufanya kaz za Community service Hospital ya sinza palestina.
Wanasimamiwa na Supervising officer aliyeteuliwa na Community service officer mbele ya mahakama.Supervising officer hapa atakua in charge wa hospital ya palestina.

Wanafanya kaz masaa ma4 tu kwa siku kila siku jumatatu mpk ijumaa.
Lazima ufike na uripot na usign kwa supervisng officer before and after na lazima waoneshe sehem waliofanya kaz hiyo siku hakuna kudoji.
Kifungo nadhan kinaisha Nov ila am not sure nahis.
Endapo kama kama wakipatwa na matatizo makubwa ya kiafya na mpk ithibitishwe na hospital kubwa ya serikal kama ni kwel ndipo wanaweza kubadilishiwa adhab na kuwekwa kwenye probation ingawa kabla hawajaja kwenye kifungo cha nje uchunguz ulifanywa na Community service na kugundulika kua wanauwezo wa kufanya kaz za kijamii na ndio maana wakatolewa jela wakaletwa watumikie adhab iyo.
Monday to Friday daily,four working hours,No excuse.Mpk mwisho wa adhab yao na wakimaliza wanapewa Certificate na Community service officer.
Nadhan utakua umeridhika na majib yangu.
Nashukuru sana, umejibu kitaalam haswa, nakutakia kila heri.
 
Gamba la Nyoka said:
Usiumize kichwa wewe jela bongo ni kwa ajili ya walalahoi, wengine ni vigogo haiwahusu
Walalahoi sababu mnafanya fujo mitaani, mtu kama Mramba akiachiwa anakwenda kutulia tuli kwenye ekaru lake. Lakini mlalahoi anakwenda kuiba tena, mpaka raia wanalalamikia jeshi la polisi.
 
Waulizwe Magu na Mwakyembe maana inatia kichefu chefu.
Hapo hapo mtu anasimama jukwaani anataka watanzania wamuombee kwa Mungu...
Ole wao wanaowakejeli wenzao na kujifanya wema kumbe ni wanafiki na mafedhuli tu...Mwenyezi Mungu tunawakabidhi kwako!!
 
Back
Top Bottom