Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 575
- 1,131
Habari. Kuna hakimu wa Mahakama ya Mwanzo alitoa hukuma ambayo haipo straight sio clearly hata darasa la saba awwzi kuandika hivyo. Ten hakimu wa Dar.
Baada ya kufanya appeal RM wa district court akatoa suo motto.ruling ikasema kesi irudiwe. Je sharia in Aarhus kumshitaki hiyo hakimu maana ndo michezo yao wakila rushwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kufanya appeal RM wa district court akatoa suo motto.ruling ikasema kesi irudiwe. Je sharia in Aarhus kumshitaki hiyo hakimu maana ndo michezo yao wakila rushwa.
Sent using Jamii Forums mobile app