Naomba ufafanunuzi wa mkanganyiko juu ya concept ya torque na horsepower

Little Dreamer

Senior Member
Sep 12, 2017
178
149
Habari wakuu!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikapata changamoto ya kutofautisha kati ya torque na horsepower. Katika jitihada zangu za kusoma nimeelewa kwa sehemu kidogo lakini kuna jambo linanichanganya kuhusu concept hiyo ambayo imenipelekea kuja kuuliza swali humu.

Taking a case study of an IC engine:
Kwanini at a certain rpm na torque huongezeka kulingana na rpm. Lakini rpm ikizidi kuongezeka kuna point inafikia horsepower/torque inapungua.

Kwanini horsepower na torque zisiongezeke sambamba na rpm.
Ni kitu gani kinaifanya horsepower na torque visiwe constantly increasing na rpm?

Screenshot_20210727-104719.jpg


Naomba kuwasilisha!!
 
Habari wakuu!

Kwa muda mrefu nimekuwa nikapata changamoto ya kutofautisha kati ya torque na horsepower. Katika jitihada zangu za kusoma nimeelewa kwa sehemu kidogo lakini kuna jambo linanichanganya kuhusu concept hiyo ambayo imenipelekea kuja kuuliza swali humu.

Taking a case study of an IC engine:
Kwanini at a certain rpm na torque huongezeka kulingana na rpm. Lakini rpm ikizidi kuongezeka kuna point inafikia horsepower/torque inapungua.

Kwanini horsepower na torque zisiongezeke sambamba na rpm.
Ni kitu gani kinaifanya horsepower na torque visiwe constantly increasing na rpm?

View attachment 1869951


Naomba kuwasilisha!!
 
Jibu ni rahisi sana.Horsepower ni kwa ajili ya speed wakati torque ni kwa ajili ya nguvu.

Assume kuwa wewe unapanda mlima mrefu ukiwa umebeba mzigo mkubwa begani.Hapa maana yake unahitaji nguvu nyingi.Ili uweze kumaliza kupanda mlima wako salama inabidi utembee taratibu sana(low rpm).Kwa hiyo unakuwa na nguvu nzuri ya kuupanda mlima kama utatembea taratibu(low rpm).Kama utakosea ukapanda mlima wako kwa haraka au ukiwa unakimbia(high rpm) lazima utaishiwa nguvu(torgue) haraka sana na hutafanikiwa kumaliza kupanda huo mlima.Lakini ili umalize kupanda mlima wako lazima utahitaji kutembea kutoka speed ya zero kwenda speed fulani na hapa ndipo unaona kuwa torque inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka hapo mwanzo.

Hii maana yake ni kwamba unakuwa na nguvu nyingi(high torque) kama utapanda mlima wako taratibu(low rpm).Torque na horsepower ni ndugu ambao hawapatani.Ili uweze kukimbia bila shida(high horsepower) inabidi usiwe na mzigo mkubwa na ili uweze kubeba mzigo mkubwa(high torque) inabidi usikimbie.

The higher the rpm the high the speed(horsepower) while the low the rpm the high the torque.Kwenye graph yako hapo unaweza kuona kuwa torque inaongezeka tu hapo mwanzoni jinsi rpm inavyoongezeka lakini inapungua kadri rpm inavyozidi kuwa kubwa wakati horsepower inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka.
 
Jibu ni rahisi sana.Horsepower ni kwa ajili ya speed wakati torque ni kwa ajili ya nguvu.

Assume kuwa wewe unapanda mlima mrefu ukiwa umebeba mzigo mkubwa begani.Hapa maana yake unahitaji nguvu nyingi.Ili uweze kumaliza kupanda mlima wako salama inabidi utembee taratibu sana(low rpm).Kwa hiyo unakuwa na nguvu nzuri ya kuupanda mlima kama utatembea taratibu(low rpm).Kama utakosea ukapanda mlima wako kwa haraka au ukiwa unakimbia(high rpm) lazima utaishiwa nguvu(torgue) haraka sana na hutafanikiwa kumaliza kupanda huo mlima.Lakini ili umalize kupanda mlima wako lazima utahitaji kutembea kutoka speed ya zero kwenda speed fulani na hapa ndipo unaona kuwa torque inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka hapo mwanzo.

Hii maana yake ni kwamba unakuwa na nguvu nyingi(high torque) kama utapanda mlima wako taratibu(low rpm).Torque na horsepower ni ndugu ambao hawapatani.Ili uweze kukimbia bila shida(high horsepower) inabidi usiwe na mzigo mkubwa na ili uweze kubeba mzigo mkubwa(high torque) inabidi usikimbie.

The higher the rpm the high the speed(horsepower) while the low the rpm the high the torque.Kwenye graph yako hapo unaweza kuona kuwa torque inaongezeka tu hapo mwanzoni jinsi rpm inavyoongezeka lakini inapungua kadri rpm inavyozidi kuwa kubwa wakati horsepower inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka.
Shukrani Sana mkuu Kwa ufafanuzi muruwaaaa
 
Jibu ni rahisi sana.Horsepower ni kwa ajili ya speed wakati torque ni kwa ajili ya nguvu.

Assume kuwa wewe unapanda mlima mrefu ukiwa umebeba mzigo mkubwa begani.Hapa maana yake unahitaji nguvu nyingi.Ili uweze kumaliza kupanda mlima wako salama inabidi utembee taratibu sana(low rpm).Kwa hiyo unakuwa na nguvu nzuri ya kuupanda mlima kama utatembea taratibu(low rpm).Kama utakosea ukapanda mlima wako kwa haraka au ukiwa unakimbia(high rpm) lazima utaishiwa nguvu(torgue) haraka sana na hutafanikiwa kumaliza kupanda huo mlima.Lakini ili umalize kupanda mlima wako lazima utahitaji kutembea kutoka speed ya zero kwenda speed fulani na hapa ndipo unaona kuwa torque inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka hapo mwanzo.

Hii maana yake ni kwamba unakuwa na nguvu nyingi(high torque) kama utapanda mlima wako taratibu(low rpm).Torque na horsepower ni ndugu ambao hawapatani.Ili uweze kukimbia bila shida(high horsepower) inabidi usiwe na mzigo mkubwa na ili uweze kubeba mzigo mkubwa(high torque) inabidi usikimbie.

The higher the rpm the high the speed(horsepower) while the low the rpm the high the torque.Kwenye graph yako hapo unaweza kuona kuwa torque inaongezeka tu hapo mwanzoni jinsi rpm inavyoongezeka lakini inapungua kadri rpm inavyozidi kuwa kubwa wakati horsepower inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka.

Asante sana google.com
 
Jibu ni rahisi sana.Horsepower ni kwa ajili ya speed wakati torque ni kwa ajili ya nguvu.

Assume kuwa wewe unapanda mlima mrefu ukiwa umebeba mzigo mkubwa begani.Hapa maana yake unahitaji nguvu nyingi.Ili uweze kumaliza kupanda mlima wako salama inabidi utembee taratibu sana(low rpm).Kwa hiyo unakuwa na nguvu nzuri ya kuupanda mlima kama utatembea taratibu(low rpm).Kama utakosea ukapanda mlima wako kwa haraka au ukiwa unakimbia(high rpm) lazima utaishiwa nguvu(torgue) haraka sana na hutafanikiwa kumaliza kupanda huo mlima.Lakini ili umalize kupanda mlima wako lazima utahitaji kutembea kutoka speed ya zero kwenda speed fulani na hapa ndipo unaona kuwa torque inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka hapo mwanzo.

Hii maana yake ni kwamba unakuwa na nguvu nyingi(high torque) kama utapanda mlima wako taratibu(low rpm).Torque na horsepower ni ndugu ambao hawapatani.Ili uweze kukimbia bila shida(high horsepower) inabidi usiwe na mzigo mkubwa na ili uweze kubeba mzigo mkubwa(high torque) inabidi usikimbie.

The higher the rpm the high the speed(horsepower) while the low the rpm the high the torque.Kwenye graph yako hapo unaweza kuona kuwa torque inaongezeka tu hapo mwanzoni jinsi rpm inavyoongezeka lakini inapungua kadri rpm inavyozidi kuwa kubwa wakati horsepower inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka.
Ntaongea na mama Samia upewe ukuu wa chuo cha veta taifa.
 
Jibu ni rahisi sana.Horsepower ni kwa ajili ya speed wakati torque ni kwa ajili ya nguvu.

Assume kuwa wewe unapanda mlima mrefu ukiwa umebeba mzigo mkubwa begani.Hapa maana yake unahitaji nguvu nyingi.Ili uweze kumaliza kupanda mlima wako salama inabidi utembee taratibu sana(low rpm).Kwa hiyo unakuwa na nguvu nzuri ya kuupanda mlima kama utatembea taratibu(low rpm).Kama utakosea ukapanda mlima wako kwa haraka au ukiwa unakimbia(high rpm) lazima utaishiwa nguvu(torgue) haraka sana na hutafanikiwa kumaliza kupanda huo mlima.Lakini ili umalize kupanda mlima wako lazima utahitaji kutembea kutoka speed ya zero kwenda speed fulani na hapa ndipo unaona kuwa torque inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka hapo mwanzo.

Hii maana yake ni kwamba unakuwa na nguvu nyingi(high torque) kama utapanda mlima wako taratibu(low rpm).Torque na horsepower ni ndugu ambao hawapatani.Ili uweze kukimbia bila shida(high horsepower) inabidi usiwe na mzigo mkubwa na ili uweze kubeba mzigo mkubwa(high torque) inabidi usikimbie.

The higher the rpm the high the speed(horsepower) while the low the rpm the high the torque.Kwenye graph yako hapo unaweza kuona kuwa torque inaongezeka tu hapo mwanzoni jinsi rpm inavyoongezeka lakini inapungua kadri rpm inavyozidi kuwa kubwa wakati horsepower inaongezeka kadri rpm inavyoongezeka.
Aisee asante mkuu, umenielewesha vizuri saana
 
Back
Top Bottom