NAOMBA TUFUMBE MACHO TUOMBE ,,,,

NAOMBA TUFUMBE MACHO TUOMBE ,,,,

jisome

Senior Member
Joined
Sep 29, 2017
Posts
108
Reaction score
94
3395f8ce8d32c0856c1add6aa9b4d5f2.jpg
. MTAKATIFU MUNGU MWENYE ENZI ASANTE KWA AJILI YA SIKU HII YA LEO NINAOMBA KILA MMOJA ANAPOKUFANYIA IBADA AKUTANE NA BARAKA ZAKO ZITOKAZO MBINGUNI TUNAOMBA MUNGU MBARIKI KILA MMOJA WETU ,BARIKI TAIFA LETU NA KUTANA NA HITAJI LA KILA MMOJA TUJALIE AFYA NJEMA NA UPENDO ninaomba katika jina La yesu nikiamini na kushukuru ameeen
 
Amen
japo wazee wetu wa imani wasingeweza kuvaa kofia namna hiyo na kuomba
 
3395f8ce8d32c0856c1add6aa9b4d5f2.jpg
. MTAKATIFU MUNGU MWENYE ENZI ASANTE KWA AJILI YA SIKU HII YA LEO NINAOMBA KILA MMOJA ANAPOKUFANYIA IBADA AKUTANE NA BARAKA ZAKO ZITOKAZO MBINGUNI TUNAOMBA MUNGU MBARIKI KILA MMOJA WETU ,BARIKI TAIFA LETU NA KUTANA NA HITAJI LA KILA MMOJA TUJALIE AFYA NJEMA NA UPENDO ninaomba katika jina La yesu nikiamini na kushukuru ameeen
Picha iliyokwenye shati lako hilo kinachoonekana hicho ni kidaka tonge au?
 
Back
Top Bottom