Subira, hali ya kusubiri jambo fulani kytokea.
Uvumilivu, inahusiana na kuweza kustahimilu shida au mateso.
Shaka na mashaka, zote zina maana moja.
Jeuri, kama mbishi kutekeleza jambo fulani.
Kiburi, inahusiana kuwa na hasira pia dharau.
Sent using
Jamii Forums mobile app