Naomba sana tuijadili picha hii

Naomba sana tuijadili picha hii

Manyerere Jackton

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
2,438
Reaction score
4,461
attachment.php
 

Attachments

  • mchina.jpg
    mchina.jpg
    56.6 KB · Views: 1,538
Bongooo hiooo angaliaaa plate number hioooo
 
Naona kama sijakuelewa hivi…kwani hapo ni Bongo? Na kama ni ndiyo je'huyo mchina ana act au yupo siliaz kikazi?
 
Hapa ni Bongo kwenyewe. Hata plate number za magari ni za Bongo. Watawala (siyo viongozi) wanayajua haya, lakini wako bize na yao.
 
Ameona fursa
Anaitumia


Ss tutabaki kushangaa tu.!!!!!!
Kama huyo jamaa hapo nyuma.
Haamini anachokionaaaa
 
Na hata kama ni Bongo…lakini inaonyesha huyu mchina alimuomba muuza au mchoma mahindi akae hapo ili achome hilo hindi alilolichaguwa mwenyewe…lakini hii siyo biashara yake
 
Mod, najua lipo jukwaa mahsusi, lakini kwa unyeti wa hii picha naomba uiache hapa wadau waijadili.

Mdau anajitafutia riziki ila kwa namna ambayo si sahihi na si salama! Kwanza kawasha moto kando ya vyombo vya moto vya usafiri vinavyotumia petroli/dozeli! Pili kaacha taka za maganda kusambaa hovyo-uchafuzi wa mazingira na mwisho zitaishia kwenye mitaro halafu mvua ikinyesha yanatokea mafuriko yasiyokuwa ya lazima!
 
Huyo ni mwekezaji….Kaja na dola 1 atarudi kwao China na Mabilioni…mkijalibu kumshitaki mahakamani, atashinda kesi na atatoka na matrilioni….usicheze naserikali ya maintarahamwe
 
Ameona fursa
Anaitumia


Ss tutabaki kushangaa tu.!!!!!!
Kama huyo jamaa hapo nyuma.
Haamini anachokionaaaa
na tutuatoka mbali sana kwenda kununua mahindi kwake baada ya muda anafungua kiwanda cha mahindi choma, wauzaji wetu wa mahindi wako palepale
 
Ndugu zangu hii picture ni ya kutengeneza, hapo ni stend ya arusha, hayo unayoyaona hapo ni magari ya Namanga, na yuyo unayemuona hapo ni Dreva asiyekuwa na gari maalum kwani mara nyingi huwa unamkuta yuko kila gari, hapo kwa huyo mchina kuna mama mmoja anachomaga mahindi yuko na mtot wake mara nyingi, sasa hapo inawezekana huyo mchina alikuwa kitaliiiiiiii zaidi akaamua apige picha, acheniiiiiiiii uongo,
 
Ndugu zangu hii picture ni ya kutengeneza, hapo ni stend ya arusha, hayo unayoyaona hapo ni magari ya Namanga, na yuyo unayemuona hapo ni Dreva asiyekuwa na gari maalum kwani mara nyingi huwa unamkuta yuko kila gari, hapo kwa huyo mchina kuna mama mmoja anachomaga mahindi yuko na mtot wake mara nyingi, sasa hapo inawezekana huyo mchina alikuwa kitaliiiiiiii zaidi akaamua apige picha, acheniiiiiiiii uongo,

Huna uhakika tulia dawa iwaingie nyie maintarahamwe
 
Huna uhakika tulia dawa iwaingie nyie maintarahamwe

kaka mimi nina uhakika asilimia mia moja, , hapa arusha stendi ndio makao yangu, cha kukusaidia tuuuuuu ni kuwa mim ninakuona mtu wa ajabu sana kwa kuzusha vitu vya uongo, njoo hata sasa hivi niko hapa pembeni kidogo tuuu ulipoga picture na brusha viatu, nadhani ulipopiga hiyo picture pembeni ulimwona shoo shiner,
 
Ndugu zangu hii picture ni ya kutengeneza, hapo ni stend ya arusha, hayo unayoyaona hapo ni magari ya Namanga, na yuyo unayemuona hapo ni Dreva asiyekuwa na gari maalum kwani mara nyingi huwa unamkuta yuko kila gari, hapo kwa huyo mchina kuna mama mmoja anachomaga mahindi yuko na mtot wake mara nyingi, sasa hapo inawezekana huyo mchina alikuwa kitaliiiiiiii zaidi akaamua apige picha, acheniiiiiiiii uongo,
Sasa tuelewe lipi. Ebu jieleze vema bhana
 
kaka mimi nina uhakika asilimia mia moja, , hapa arusha stendi ndio makao yangu, cha kukusaidia tuuuuuu ni kuwa mim ninakuona mtu wa ajabu sana kwa kuzusha vitu vya uongo, njoo hata sasa hivi niko hapa pembeni kidogo tuuu ulipoga picture na brusha viatu, nadhani ulipopiga hiyo picture pembeni ulimwona shoo shiner,

Jitu zima kushinda stand 24hrs!? Ila sishangai sana kwani huenda ukawa ndo wale wale wanaosubiria wakuja waingie A-Town kisha muwaibie.
 
Jitu zima kushinda stand 24hrs!? Ila sishangai sana kwani huenda ukawa ndo wale wale wanaosubiria wakuja waingie A-Town kisha muwaibie.

mimi ndio ofisini kwangu hapa, hata kama nauza machungwa ila unilishi wala unilipii kodi ya nyumba au wewe unataka tufanye nini labda, au tupige umbea kwenye mitandao kama wewe unavyofanya????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom