Naomba Picha yako Mpenzi!

Ina maana hata picha za matukio muhimu huna?passport size ulizoombea kazi? picha za graduation? pole kokudo nenda photo point
 
Katika vitu vinavyonipa wakati mgumu kwenye mahusiano ni kuombwa picha eebwana inanipa taabu sana.nakumbuka mala ya mwisho kupiga picha ilikua namaliza standard 7 sasa akiomba picha inabidi nifikirie kwenda studio kupiga picha mackini hata pozi nilisha sahau hv kwa wewe unafanyaje khs hl?mimi kwangu ni mtihani.

Wewe, inaonyesha ulizaliwa miaka ya 1957.....1964...
Watu wa kizazi hicho ndiyo walikuwa wanapenda sana kuomba picha kwa wapenzi iwe wamwkataliwa au la! na sijui unaishi wapi! amabako wanaombana picha!! mambo ya zamani sana hayo....wengi humu hawajui ndiyo maana wanachanyanya maada! Studio! picha!
Ule wimbo wa naomba picha yake ooh stella mama x 15, ingawa ndugu zako hawanitaki.......... ni wimbo wa kipindi hicho!!!
Duh! uanatania au kweli!?
 
Katika vitu vinavyonipa wakati mgumu kwenye mahusiano ni kuombwa picha eebwana inanipa taabu sana.nakumbuka mala ya mwisho kupiga picha ilikua namaliza standard 7 sasa akiomba picha inabidi nifikirie kwenda studio kupiga picha mackini hata pozi nilisha sahau hv kwa wewe unafanyaje khs hl?mimi kwangu ni mtihani.

Hizi enzi hizo:
i1358_mwalimu.jpg
 
Wewe, inaonyesha ulizaliwa miaka ya 1957.....1964...
Watu wa kizazi hicho ndiyo walikuwa wanapenda sana kuomba picha kwa wapenzi iwe wamwkataliwa au la! na sijui unaishi wapi! amabako wanaombana picha!! mambo ya zamani sana hayo....wengi humu hawajui ndiyo maana wanachanyanya maada! Studio! picha!
Ule wimbo wa naomba picha yake ooh stella mama x 15, ingawa ndugu zako hawanitaki.......... ni wimbo wa kipindi hicho!!!
Duh! uanatania au kweli!?
Hapana mi ni kati ya 1990 na 1992 but ckua na utamaduni wa kupiga picha ha ha teh teh
 
Wewe, inaonyesha ulizaliwa miaka ya 1957.....1964...
Watu wa kizazi hicho ndiyo walikuwa wanapenda sana kuomba picha kwa wapenzi iwe wamwkataliwa au la! na sijui unaishi wapi! amabako wanaombana picha!! mambo ya zamani sana hayo....wengi humu hawajui ndiyo maana wanachanyanya maada! Studio! picha!
Ule wimbo wa naomba picha yake ooh stella mama x 15, ingawa ndugu zako hawanitaki.......... ni wimbo wa kipindi hicho!!!
Duh! uanatania au kweli!?
Hapana mi ni kati ya 1990 na 1992 but ckua na utamaduni wa kupiga picha ha ha teh teh
 
Back
Top Bottom