Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Naaaam DA haya nini tena?
Hiyo bluu hujaiona hapo NINYO ndo nani tena
Naaaam DA haya nini tena?
Jamani NINYO ndo husninyo na ndo maana ye kajua.ok leta mpya maana nikiona lastpost Dena Amsi najua huko kuna mpya.
Katika vitu vinavyonipa wakati mgumu kwenye mahusiano ni kuombwa picha eebwana inanipa taabu sana.nakumbuka mala ya mwisho kupiga picha ilikua namaliza standard 7 sasa akiomba picha inabidi nifikirie kwenda studio kupiga picha mackini hata pozi nilisha sahau hv kwa wewe unafanyaje khs hl?mimi kwangu ni mtihani.
Katika vitu vinavyonipa wakati mgumu kwenye mahusiano ni kuombwa picha eebwana inanipa taabu sana.nakumbuka mala ya mwisho kupiga picha ilikua namaliza standard 7 sasa akiomba picha inabidi nifikirie kwenda studio kupiga picha mackini hata pozi nilisha sahau hv kwa wewe unafanyaje khs hl?mimi kwangu ni mtihani.
Hapana mi ni kati ya 1990 na 1992 but ckua na utamaduni wa kupiga picha ha ha teh tehWewe, inaonyesha ulizaliwa miaka ya 1957.....1964...
Watu wa kizazi hicho ndiyo walikuwa wanapenda sana kuomba picha kwa wapenzi iwe wamwkataliwa au la! na sijui unaishi wapi! amabako wanaombana picha!! mambo ya zamani sana hayo....wengi humu hawajui ndiyo maana wanachanyanya maada! Studio! picha!
Ule wimbo wa naomba picha yake ooh stella mama x 15, ingawa ndugu zako hawanitaki.......... ni wimbo wa kipindi hicho!!!
Duh! uanatania au kweli!?
Hapana mi ni kati ya 1990 na 1992 but ckua na utamaduni wa kupiga picha ha ha teh tehWewe, inaonyesha ulizaliwa miaka ya 1957.....1964...
Watu wa kizazi hicho ndiyo walikuwa wanapenda sana kuomba picha kwa wapenzi iwe wamwkataliwa au la! na sijui unaishi wapi! amabako wanaombana picha!! mambo ya zamani sana hayo....wengi humu hawajui ndiyo maana wanachanyanya maada! Studio! picha!
Ule wimbo wa naomba picha yake ooh stella mama x 15, ingawa ndugu zako hawanitaki.......... ni wimbo wa kipindi hicho!!!
Duh! uanatania au kweli!?
Umenikumbusha soda moja ilikuwa inaitwa Double Cola ilikuwa tamu kweli sijui ilikwenda wapi