Desidii
JF-Expert Member
- Oct 2, 2007
- 1,201
- 86
Umeme upo but chaji kwel ilikwisha ikabd niwe off ok nambie
Niliona kimya nikadhani ndo ushakwenda kwa miguu kupiga picha
Umeme upo but chaji kwel ilikwisha ikabd niwe off ok nambie
Bado namsubili DC alisema atanipa digital yake ndo nasubilia aniletee
Hebu nitafutie ile camera ya 80's kama unayo nakumbuka uliiweka kule kwenye maboksiMy dear mie ntakupa camera
Lakini inabidi uchague
80s ile kila ukipiga unarewind
90s ile yakuweka machoni
00s km10 mbele bado unapiga picha..
Ile yenye kioo kikubwa..
Kuhusu picha yangu muombe TF anazo zote
Katika vitu vinavyonipa wakati mgumu kwenye mahusiano ni kuombwa picha eebwana inanipa taabu sana.nakumbuka mala ya mwisho kupiga picha ilikua namaliza standard 7 sasa akiomba picha inabidi nifikirie kwenda studio kupiga picha mackini hata pozi nilisha sahau hv kwa wewe unafanyaje khs hl?mimi kwangu ni mtihani.
Mmmh anaweza kukimbia but kananijua bwana.
hakikisha pembeni kuna feni na ua halafu mkononi kamata pepsi kola.hakikisha maandishi ya soda na aina ya feni yanaonekana.weka mguu mmoja mbele(inategemea soda umeshikia mkono gani,mguu wa tofauti ndo uwekwe mbele).vuta pumzi ndefu halafu wakati mpiga picha anakwambia 'napiga' we sema kwa sauti 'chipssssssssss'!!yani utauza mbaya!!Ha ha ha teh teh umenikumbusha ntaweka na dole gumba.
Ha ha ha mbavu zangu jamani duuh hii nomahakikisha pembeni kuna feni na ua halafu mkononi kamata pepsi kola.hakikisha maandishi ya soda na aina ya feni yanaonekana.weka mguu mmoja mbele(inategemea soda umeshikia mkono gani,mguu wa tofauti ndo uwekwe mbele).vuta pumzi ndefu halafu wakati mpiga picha anakwambia 'napiga' we sema kwa sauti 'chipssssssssss'!!yani utauza mbaya!!
Bado namsubili DC alisema atanipa digital yake ndo nasubilia aniletee
Hebu nitafutie ile camera ya 80's kama unayo nakumbuka uliiweka kule kwenye maboksi
hakikisha pembeni kuna feni na ua halafu mkononi kamata pepsi kola.hakikisha maandishi ya soda na aina ya feni yanaonekana.weka mguu mmoja mbele(inategemea soda umeshikia mkono gani,mguu wa tofauti ndo uwekwe mbele).vuta pumzi ndefu halafu wakati mpiga picha anakwambia 'napiga' we sema kwa sauti 'chipssssssssss'!!yani utauza mbaya!!
Umepotea leo ninyo ulikua bze sana leo.ucjari nikiiokota ntakuletea ok
Umepotea leo ninyo ulikua bze sana leo.ucjari nikiiokota ntakuletea ok