kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Katika vitu vinavyonipa wakati mgumu kwenye mahusiano ni kuombwa picha eebwana inanipa taabu sana.nakumbuka mala ya mwisho kupiga picha ilikua namaliza standard 7 sasa akiomba picha inabidi nifikirie kwenda studio kupiga picha mackini hata pozi nilisha sahau hv kwa wewe unafanyaje khs hl?mimi kwangu ni mtihani.