Niende moja kwa moja kwenye swali la msingi tumeambiwa tuko kwenye Tanzania ya viwanda mi naomba tu list au hata picha tu ya kiwanda kilicho kwenye hatua ya ujenzi au hata tu eneo lililofyekwa ili kiwanda kijengwe. Maana huu wimbo wa Tanzania ya viwanda nimeshindwa kuuimba.