Oscar Amedeus
Member
- Sep 21, 2015
- 16
- 1
Good afternoon brothers & sisters!
Natumaini mko poa. Hatimae nimekuwa na account yangu, now I can share stuff! Moja kwa moja kwenye swala:
Nimekuja Dar nikitokea Mwanza, ni baada ya kupata kazi kwenye makao makuu ya Benki moja hapa mjini. Baada ya kutumia fedha nyingi katika kutafuta ajira na hadi safari yangu hii, nimeishiwa salio la kupanga nyumba/chumba. Najua ofisini kuna policy ya kulipwa mshahara in advance, lakini sitaki kuclaim benefit zozote kwenye kazi hii mpya.
Naomba kwako dada/kaka/mzee unikaribishe kwako kwa siku 30 (1 month) kwaajili ya malazi tu, chakula ninajimudu, na nitakuwa willing kushare expenses za hapa na pale. Baada ya mwezi mmoja ntakuwa na uwezo wa kuhamia kwangu na tutabaki marafiki.
Kuhusu option ya kuwaomba wafanyakazi wenzangu: hilo sitajaribu kwasababu ya maslahi ya kazi. Na Dar sina mwenyeji. Kuhusu validity yangu; nina vitambulisho vyote, mkataba wa kazi na makaratasi mengine ya kunitambulisha, pia naweza kukutambulisha kwa senior wangu.
NiPM kama unaweza nisaidia au kwa maongezi zaidi.
Shukrani sana.
Natumaini mko poa. Hatimae nimekuwa na account yangu, now I can share stuff! Moja kwa moja kwenye swala:
Nimekuja Dar nikitokea Mwanza, ni baada ya kupata kazi kwenye makao makuu ya Benki moja hapa mjini. Baada ya kutumia fedha nyingi katika kutafuta ajira na hadi safari yangu hii, nimeishiwa salio la kupanga nyumba/chumba. Najua ofisini kuna policy ya kulipwa mshahara in advance, lakini sitaki kuclaim benefit zozote kwenye kazi hii mpya.
Naomba kwako dada/kaka/mzee unikaribishe kwako kwa siku 30 (1 month) kwaajili ya malazi tu, chakula ninajimudu, na nitakuwa willing kushare expenses za hapa na pale. Baada ya mwezi mmoja ntakuwa na uwezo wa kuhamia kwangu na tutabaki marafiki.
Kuhusu option ya kuwaomba wafanyakazi wenzangu: hilo sitajaribu kwasababu ya maslahi ya kazi. Na Dar sina mwenyeji. Kuhusu validity yangu; nina vitambulisho vyote, mkataba wa kazi na makaratasi mengine ya kunitambulisha, pia naweza kukutambulisha kwa senior wangu.
NiPM kama unaweza nisaidia au kwa maongezi zaidi.
Shukrani sana.