Naomba niwaage

Update uzi wako mkuu!
 
Mbona hujaweka namba akutumie sadaka kwa Mpesa?
 
Umejuaje kuwa ni mungu na wala sio corona imeghairi kwa hiyari yake yenyewe na kuachana na windo lake?
Siyo kazi yangu kujua hayo mengine, mimi ninachojua Mungu kwamruzuku maisha tena bwana Ushimen basi!!
 
leo sijaona TANZIA


au ni hii dawa ya Madagascar!
 
Ebana huu ugonjwa hata mimi nadhan ninao japo sijapima coz kupumua imekua ishu sana at least sa iv pumzi imeachia ila siku mbili tatu nyuma apa nilikua napata tabu sana hasa ikifika usiku sometime naamka saa tisa usiku pumzi zimebana nafanya mazoezi kidogo zinaachia narud tena kulala.Natumia malimao,nakula machungwa na asali kwa sana sa iv naweza vuta pumzi kidogo afadhali sio kama hapa katikati Siku nne zilizopita.
Yan kiukweli huu ugonjwa umeshatapakaa sana dar hapa na mimi ukuniuliza nimeutoa wapi hata sijui kwa sababu nilijitahidi sana kujizuia nisitoke toke lakini wapi ngoma nimekutana nayo nacheza nayo sa ivi.. Tena mimi sijasikia dalili nyingine zaidi ya kushindwa kupumua na sijamwambia yoyote ukiniona wala huwezi jua kama hata ninazo ila nimeacha kutoka kabisa zaidi ya kununua vitu vya msingi tena kwa tahadhari kubwa sana..
 
Acha basi!!! Mbona mm nimekunywa hii na ndio imenisaidia na watu waliniambia ndio yenyew na ukiifananisha na ile ya Madagascar mbona zinafanana jamani!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo yenyewe niskize mimi mrombo

Ijapokua ni dawa pia. Na waweza pia kujifukiza.. iyaka is different. Hili ni iyombo.
Tizama iyaka. Nimelipiga picha hapa shambani kwetu kimara. Karibu upate mbegu

Hii hata mkichinja mbuzi ni kiboko ya shombo unachemshia kwenye supu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakwambiaje hilo ndio nawekaga kwenye subu ya mbuzi unabisha nini kiongozi

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Achaga ubishi basi mkuu. Silo. Angalia yofauti ya majani yake. Hayo uloweka ni manene. Ya iyaka ni tofauti. Unaweka haya hapa sema umeshindwa tofautisha. Angalia kwa umakini sana majani yalivyo ujur tofauti yake. Fananisha majani na picha uloweka kama vyafanana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninadalili kama zako siumwi chochote zaidi ya pumzi, sema kuanzia jana ninapata nafuu baada ya kuanza kutumia Azithromycin, Predinisorone, aspirin pamoja na matunda yenye vitamin C kwa wingi .Na mida hiyoyo ndio mida ya kubana ila nakupiga pushup napo inanisaidia kupumua vizuri.Nina jifungi siku nzima nikitoka nje natumia mask na sanitizer kila muda ili kulinda wengine.
 
Mkuu haya nimeweka kwenye supu ya mbuzi mbona huniamini?

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Huyu mdau amegoma hata kuleta feedback ya matumizi ya dawa anazotajiwa humu jukwaani?

Sent using iphone pro max
 
Huyu mdau amegoma hata kuleta feedback ya matumizi ya dawa anazotajiwa humu jukwaani?

Sent using iphone pro max
Tayari nikiweka feedback mkuu, nime eleza kwa uwazi bila tashwishwi dawa nilizo tumia na mitishamba pamoja na majini niliyo jifukizia nyungu.
Sasa nipo ngangari na nimekuwa mpya kabisa mkuu.
Ebu jaribu kurudi nyuma kidogo utayapata niliyo yaelezea kwenye mrejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni post namba ngapi mkuu hayo majibu yako? Nimeyatafuta sana mpaka nimechoka!
 


Kwanza kabisa pole na tunafurahi kuwa nawe tena jukwaani mkuu.

Pili, ungefanya update kwenye uzi huu post ya mwanzo kabisa ingefaa zaidi.

Kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…