UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,585
- 1,883
Salam sana waungwana
Nimeona niongee sababu kuna mambo wengi tunajifanya tumefumbia macho au tunajisahaulisha which is very worse katika jamii yetu na inagharimu sana hasa wale wanaojiingiza huko bila mipango thabiti.
Jana nilipita Shule ya Msingi Muhimbili nikiwa nimetokea kumuona mgonjwa wangu hapo Muhimbili Hospital, sasa kuna watoto niliwaona wananyeshewa na mvua kwenye kituo cha basi mpaka nikaumia roho ikabidi nisimame niwapakie bila kujali katika kuuliza wanaelekea wapi wakadai wanaenda Makumbusho Uzuri nilikua naeleke njia hiyo i had to escort them.
Kilichoniumiza ni jinsi walivyo innocent wadogo worse part ni darasa la 2 na 3 nikawaza ubaridi ulivyowapiga na mvua zile pale kituoni haikua sawa kabisa.
Nilienda mbali nikawaza sana hivi inakuaje watoto kama wale mvua zile mzazi asichukue hatua yeyote?
Ndugu zangu hasa wanaume wenzangu niseme tu inakuaje tunakimbilia majukumu ya kuanzisha familia alafu tunashindwa kuyatawala majukumu na yanatutawala?
Mtoto ni jini linalo nyonya damu yako unapoamua kumleta duniani jua umeleta jini kama unashindwa kumtunza means umeandaa tabaka jipya katika jamii ambalo limesababishwa nawewe kwa uzembe wako mwenyewe.
Chanzo cha watoto kua wasumbufu ni kushindwa kuwajibika kisawa sawa kama mzazi kwa nafasi yako sehemu yako hasa kama hawa unakuta mtu yuko nyumbani ansubiri mtoto arudi tena wengine wamekaa busy kwenye makochi wakiperuz jamiiforums like serious guys?
Umeamua kuanzisha familia maana ake umeamua kusimamia maamuzi yako bila kuyumbisha.
Unakuta Mwingine hakua tayari kua na family lakini mladi tu mwishowe anaishia kuja kusumbua watu.
So guys please hasa Wazazi wenzangu please na mnaotarajia kuwa wazazi kama huwezi kuhandle majukumu usiyakimbilie hayana mantiki yeyote hawa ni viumbe wa Mungu sisi ndio tuliamua kuwaita duniani hakuna alitulazimisha
Gentleman!
Nimeona niongee sababu kuna mambo wengi tunajifanya tumefumbia macho au tunajisahaulisha which is very worse katika jamii yetu na inagharimu sana hasa wale wanaojiingiza huko bila mipango thabiti.
Jana nilipita Shule ya Msingi Muhimbili nikiwa nimetokea kumuona mgonjwa wangu hapo Muhimbili Hospital, sasa kuna watoto niliwaona wananyeshewa na mvua kwenye kituo cha basi mpaka nikaumia roho ikabidi nisimame niwapakie bila kujali katika kuuliza wanaelekea wapi wakadai wanaenda Makumbusho Uzuri nilikua naeleke njia hiyo i had to escort them.
Kilichoniumiza ni jinsi walivyo innocent wadogo worse part ni darasa la 2 na 3 nikawaza ubaridi ulivyowapiga na mvua zile pale kituoni haikua sawa kabisa.
Nilienda mbali nikawaza sana hivi inakuaje watoto kama wale mvua zile mzazi asichukue hatua yeyote?
Ndugu zangu hasa wanaume wenzangu niseme tu inakuaje tunakimbilia majukumu ya kuanzisha familia alafu tunashindwa kuyatawala majukumu na yanatutawala?
Mtoto ni jini linalo nyonya damu yako unapoamua kumleta duniani jua umeleta jini kama unashindwa kumtunza means umeandaa tabaka jipya katika jamii ambalo limesababishwa nawewe kwa uzembe wako mwenyewe.
Chanzo cha watoto kua wasumbufu ni kushindwa kuwajibika kisawa sawa kama mzazi kwa nafasi yako sehemu yako hasa kama hawa unakuta mtu yuko nyumbani ansubiri mtoto arudi tena wengine wamekaa busy kwenye makochi wakiperuz jamiiforums like serious guys?
Umeamua kuanzisha familia maana ake umeamua kusimamia maamuzi yako bila kuyumbisha.
Unakuta Mwingine hakua tayari kua na family lakini mladi tu mwishowe anaishia kuja kusumbua watu.
So guys please hasa Wazazi wenzangu please na mnaotarajia kuwa wazazi kama huwezi kuhandle majukumu usiyakimbilie hayana mantiki yeyote hawa ni viumbe wa Mungu sisi ndio tuliamua kuwaita duniani hakuna alitulazimisha
Gentleman!