valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 869
Akikubali ombi lako usisite kunipa kadi ya mchango nitoe visent kidogo!
Akikubali ombi lako usisite kunipa kadi ya mchango nitoe visent kidogo!
Bishanga si unaona sasa,
kwa vile ulinitelekeza watoto wakuzaa wewe mwenye wanaanza
kunichokoza, sijui nilie.
sasa me nashangaa mnaanza kufanya biznez zenu hapa halafu nina wivu tani moja na nusu...
Mimi ndio ninaoupokea.
Unaweza ukanipa huo mchango.
mara hii ushaanza kum miss? ama kweli mapenzi ya kileo yamekuwa maharage ya mbeya maji mara moja.
Hujakosea kabisa! Na mapenzi ya zamani yaliitwa mapenzi ya Liganga (kule tunakochimba mkaa wa mawe)
Achen mambo yenu hapa sa unarembaaa unasumbia watu afu mwisho wa siku unakubali ili iweje kufanya yote haya though ulitumia muda kidogo kuniconvice usimtie ujinga mwenzio na ndo wajipalia makaa hapo mtu mwenyewe upoupo afu waropoka tuu shauri ako judgement mkewe mim haya wewe nan?
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ni mh. Ruttashobolwa na katibu ni mh. Kongosho naomba wachague wanakamati wengine.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ni mh. Ruttashobolwa na katibu ni mh. Kongosho naomba wachague wanakamati wengine.