Naomba Namba ya TRA

Naomba Namba ya TRA

KVM

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
1,852
Reaction score
933
Nimepambana na udanganyifu mkubwa wa ukusanyaji kodi unaofanywa na watu ambao siyo waaminifu kwa kutumia jina la TRA. Mwenye namba simu nambako naweza kuripoti tatizo nililokutana nalo tafadhali anijuze. Sitaki kuelezea tatizo hilo mpaka hapo nitakapozungumza na mtu wa TRA.
 
Back
Top Bottom