Naomba mwongozo wa namna ya kumfundisha mtu lugha ya Kiswahili

GANG MO

JF-Expert Member
Dec 6, 2016
2,087
2,194
Habari za asubuhi wadau wa elimu,

Nina rafiki yangu yupo nje ya nchi na mara nyingi namuelekeza namna ya kuongea kiswahili, kKavutiwa na hii lugha na mara nyingi ananiuliza maswali.

Sasa sina muongozo wa kunisaidia kumuelekeza, anataka nimfunze kiswahili ila sina muongozo.

Naomba kwa yeyote mwenye muongo anisaidie na pia kama unaweza nisaidia vipengele muhimu vya kumfundisha lugha hii ya kiswahili.

Natanguliza shukrani wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…