Mngurimi
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 819
- 789
Bila kupoteza muda naomba mtu mwenye uelewa na kijiji cha Ikunkwa kilichopo wilayani Kaliua huko mkoani Tabora.
Katika ufafanuzi wa mwenyeji wa eneo hilo naomba kujua fursa za kiuchumi, huduma za kijamii kama hospitali, maji na umeme.
Kama kutakuwa na sifa za ziada pia, naomba msaada huo. Barikiwa sana.
Katika ufafanuzi wa mwenyeji wa eneo hilo naomba kujua fursa za kiuchumi, huduma za kijamii kama hospitali, maji na umeme.
Kama kutakuwa na sifa za ziada pia, naomba msaada huo. Barikiwa sana.