KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,149
- 4,752
Wanajamvi habrai za jioni, poleni na Januari kwa hekaheka.
Naomba msaada kwa anayefahamu mazingira ya Bagamoyo yalivyo.
Nafikiria kwenda kujiunga na chuo cha Adem Bagamoyo kozi ya D.S.I
Ila nafikiria zaidi kukaa uraiani kupanga na siyo hostel za chuo maana ni ghali kila kitu kununua.
Nataka nijaribu kubana bajeti za maisha maana gharama za kujisomesha kuanzia tution fees kila kitu ni mfukoni kwangu.
Je, naweza kupata vyumba vya kupanga karibu na chuo na, je bajeti ya hivyo vyumba ni shilingi ngapi kwa mwezi?
Ili niandae bajeti yangu mapema kabisa kabla muhula wa kwenda chuo haujafika maana hela yenyewe ni ngumu kweli kupatikana na huku familia inakutegemea kwa kila kitu.
Asanteni ni watakie jioni njema.
Karibuni mnipe muongozo.
Naomba msaada kwa anayefahamu mazingira ya Bagamoyo yalivyo.
Nafikiria kwenda kujiunga na chuo cha Adem Bagamoyo kozi ya D.S.I
Ila nafikiria zaidi kukaa uraiani kupanga na siyo hostel za chuo maana ni ghali kila kitu kununua.
Nataka nijaribu kubana bajeti za maisha maana gharama za kujisomesha kuanzia tution fees kila kitu ni mfukoni kwangu.
Je, naweza kupata vyumba vya kupanga karibu na chuo na, je bajeti ya hivyo vyumba ni shilingi ngapi kwa mwezi?
Ili niandae bajeti yangu mapema kabisa kabla muhula wa kwenda chuo haujafika maana hela yenyewe ni ngumu kweli kupatikana na huku familia inakutegemea kwa kila kitu.
Asanteni ni watakie jioni njema.
Karibuni mnipe muongozo.