suranne
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 120
- 246
Kwa kweli mi nakerwa sana na usiri uliopo serikalini na mjengoni maana mtu anapokosea au kwenda kinyume na utaratibu wa bungeni mbunge husimama na kuomba mwongozo wa spika kwa mbwembwe nyingi sana ili amwadhibu mkosaji ila mi sijaona mbunge aliyeambiwa athibitishe kauli mbele ya bunge ukisomwa uthibitisho wake ili hukumu itolewe kulingana na uthibitisho huo.Mfano sijawahi sikia hukumu ya Zitto, Lissu na Lema ila naona uhitaji wa kuthibitisha unaendelea so naomba mchungaji ashindwe kuthibitisha ili spika amwadhibu na hapo ndo tutajua hatima ya hukumu nilizozitaja hapo juu.