kaisar19
JF-Expert Member
- May 24, 2021
- 228
- 391
Habari zenu wana jf.
Mimi ni kijana wa kitanzania ndugu yenu wa damu.
Mzaliwa wa mkoa kigoma kwa sasa naishi dar.
Nimemkimbia mke na watoto wangu wawili nilio wazaa mwenyewe, kutokana na ugumu wa maisha ya nyumbani.
Kwa sasa wanaishi nyumbani kwa kaka yangu mkubwa, najua wanakula lakini ni jukumu langu mimi kuwa hudumua katika mahitaji yao yote.
Nimefanya shughuli nyingi lakini hazijawa na manufaa ya kuniwezesha kumudu mahitaji ya familia yangu.
Kama nili vyosema hapo awali nahitaji msaada wenu ndugu zangu.
Naishi DARESSALAAM sina mbele wala nyuma
Nina kipaji cha kuigiza filamu, kuigiza sauti, na kufanya voice over za matangazo nk.
Sijapata nafasi ya kutumia kipaji changu kuwa pesa.
Naomba msaada wenu nipate angalau pikipki ya mkataba Nifanye kazi ya bodaboda.
Kwa sasa naishi maeneo ya mbagala kuu, riziki anatoa mungu kwa jitihada za kutafuta kwa jasho. Atakae guswa naomba tuwasiliane. 0684939536
Mimi ni kijana wa kitanzania ndugu yenu wa damu.
Mzaliwa wa mkoa kigoma kwa sasa naishi dar.
Nimemkimbia mke na watoto wangu wawili nilio wazaa mwenyewe, kutokana na ugumu wa maisha ya nyumbani.
Kwa sasa wanaishi nyumbani kwa kaka yangu mkubwa, najua wanakula lakini ni jukumu langu mimi kuwa hudumua katika mahitaji yao yote.
Nimefanya shughuli nyingi lakini hazijawa na manufaa ya kuniwezesha kumudu mahitaji ya familia yangu.
Kama nili vyosema hapo awali nahitaji msaada wenu ndugu zangu.
Naishi DARESSALAAM sina mbele wala nyuma
Nina kipaji cha kuigiza filamu, kuigiza sauti, na kufanya voice over za matangazo nk.
Sijapata nafasi ya kutumia kipaji changu kuwa pesa.
Naomba msaada wenu nipate angalau pikipki ya mkataba Nifanye kazi ya bodaboda.
Kwa sasa naishi maeneo ya mbagala kuu, riziki anatoa mungu kwa jitihada za kutafuta kwa jasho. Atakae guswa naomba tuwasiliane. 0684939536