Ninataka kwenda kununua simu ila kuna mtu kaniambia muda huu kuwa zipo za tigo za promotion zenye wap. Nataka kununua mpya kabisa dukani. Zinauzwa shilingi ngapi? Anayejua naomba anijulishe.
Nashukuruni wakuu, kesho nitaenda ila nia yangu ilikuwa ni kupata clue ya hizo simu kwa mtu anayezijua cause kesho nitaenda halafu nizione nisizipende then nitakuwa nimepoteza muda wangu bure. Hakuna mfanyabiashara atakayekwambia bidhaa yake ina matatizo. HII NDO ILIKUWA MAANA YANGU. Thanks though, USIKU MWEMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.