Naomba msaada

Naomba msaada

Joined
Apr 4, 2019
Posts
12
Reaction score
3
Jamani nimeibiwa simu yangu ni samsung nataka kuitafta lakini sina imei number nilienda police wakasema mpaka nilete imei lakini box la simu nilishapoteza nimejaribu kutafta imei kupitia google dashboard lakini hainiletei imei inaleta jina la simu tu. Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia anipe mawasiliano yake au hata kama kuna mtu anamjua mtu anayeweza kunisaidia nikaipata hiyo simu naomba anipe mwasiliano yake.
 
Jamani nimeibiwa simu yangu ni samsung nataka kuitafta lakini sina imei number nilienda police wakasema mpaka nilete imei lakini box la simu nilishapoteza nimejaribu kutafta imei kupitia google dashboard lakini hainiletei imei inaleta jina la simu tu. Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia anipe mawasiliano yake au hata kama kuna mtu anamjua mtu anayeweza kunisaidia nikaipata hiyo simu naomba anipe mwasiliano yake.
au njoo pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua simu mpya tu mkuu

Kama una hela na muda wa kupoteza endelea kwenda police
 
Back
Top Bottom