Kimsingi hapo una mkataba uwe wa mdomo au maandishi tayari ni makubaliano.
Andika barua kwa uongozi kuomba kulipwa kwa siku unazodai toa nakala na subiri nafikiri kwa siku ambazo ni chini ya 90.
Wasipokujibu wapeleke idara ya kazi na baadae kotini.Huko utapata haki yako pamoja na fidia.
Waajiri wengine hupenda kufanya lobbing so jipange uwe na mtu wa kukusimamia au kwenye uwezo kotini.