Northern empire
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 358
- 459
Habari za usiku. Mimi ni mtumishi katika taasisi moja na nimetumikia kwa kipindi cha miaka minne mpaka Sasa .
Changamoto inayonitokea ni kuwa huu ni mwezi wa sita sijalipwa mishahara yangu . Nimejaribu kuongea na watu wakanishauri niende mahakama ya maridhiano (sikumbuki kwa kifupi inaitwaje) ila nikiongea na waajiri wangu wao wanasema watanipa ila kwasasa hawana na hawajakataa kuwa siwadai.
Sasa wasiwasi wangu ni kuwa huko nikienda kuwashtaki itachochea wanipe haraka? au nao wanaweza kuomba wapewe muda wa kutafuta fedha ili wanilipe kitu ambacho kitachukua muda mrefu tuu mpaka kupata haki Yangu.
Naomba ushauri kama kunanjia nyingine ya kupata utatuzi Wa jambo hili.
Changamoto inayonitokea ni kuwa huu ni mwezi wa sita sijalipwa mishahara yangu . Nimejaribu kuongea na watu wakanishauri niende mahakama ya maridhiano (sikumbuki kwa kifupi inaitwaje) ila nikiongea na waajiri wangu wao wanasema watanipa ila kwasasa hawana na hawajakataa kuwa siwadai.
Sasa wasiwasi wangu ni kuwa huko nikienda kuwashtaki itachochea wanipe haraka? au nao wanaweza kuomba wapewe muda wa kutafuta fedha ili wanilipe kitu ambacho kitachukua muda mrefu tuu mpaka kupata haki Yangu.
Naomba ushauri kama kunanjia nyingine ya kupata utatuzi Wa jambo hili.