JOSEPHAT_07
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 290
- 162
Naomba msaada kwa anaezifahamu hizi programu, ipi ni nzuri kwajili ya kutengenezea Logo, vipeperushi, card design.
phat_07
phat_07
Wakuu, mwenye link ya adobe illustrator na adobe edition aweke ( Crack )Nataka nikasome mojawapo, na pia naomba msaada wapi nikasome
phat_07
Naomba msaada kwa anaezifahamu hizi programu, ipi ni nzuri kwajili ya kutengenezea Logo, vipeperushi, card design.
phat_07
Kwa Logo Adobe Illustrator ni nzuri japo zote zinatumika. Siku hizi katika Youtube unapata kila kitu ila kama una nafasi waweza soma live darasani. We upo sehemu gani. Kuna Jamaa anaitwa Richstar ana tutorial nyingi Youtube za hayo mambo pia anauza DVD za mafunzo waweza jipatia. Kikubwa ni kuwa mtundu na kupitia Youtube unaweza jifunza mengi sana, mi nakushauri kabla hujaenda fundishwa darasani anza na Youtube ili ukipata mwalimu uwe una mwanga kidogo kuliko kwenda hujui chochote
Kama uko gizani kabisa mi naona chimba mfukoni mpe mtalaam akutoe vumbi kidogo halafu utaendelea. Utaelewa kwa muda mfupi.Naomba msaada kwa anaezifahamu hizi programu, ipi ni nzuri kwajili ya kutengenezea Logo, vipeperushi, card design.
phat_07
Asante mkuu na mimi nimenufaika na hizi nondo zako.
Asante sanaKwa Logo Adobe Illustrator ni nzuri japo zote zinatumika. Siku hizi katika Youtube unapata kila kitu ila kama una nafasi waweza soma live darasani. We upo sehemu gani. Kuna Jamaa anaitwa Richstar ana tutorial nyingi Youtube za hayo mambo pia anauza DVD za mafunzo waweza jipatia. Kikubwa ni kuwa mtundu na kupitia Youtube unaweza jifunza mengi sana, mi nakushauri kabla hujaenda fundishwa darasani anza na Youtube ili ukipata mwalimu uwe una mwanga kidogo kuliko kwenda hujui chochote
Kwa vitu ambavyo utaprint illustrator ni nzuri zaidi, mfano hizo card,Naomba msaada kwa anaezifahamu hizi programu, ipi ni nzuri kwajili ya kutengenezea Logo, vipeperushi, card design.
phat_07
AsanteKwa vitu ambavyo utaprint illustrator ni nzuri zaidi, mfano hizo card,
Kwa vitu vya kidigitali kama logo za website ama Youtube basi photoshop ni nzuri zaidi.
Hongera mzeeHakuna haja ya kwenda darasani mimi nimejifunza video editing , hizo motion graphics , special effects YouTube tuu ! Mpaka music productuon nimejifunza YouTube saivi nagonga biti kama s2kizzy
mkuu, unatumia software kufanya music production. Naomba link nidownload please! crackedHakuna haja ya kwenda darasani mimi nimejifunza video editing , hizo motion graphics , special effects YouTube tuu ! Mpaka music productuon nimejifunza YouTube saivi nagonga biti kama s2kizzy