king can janja
Member
- Feb 14, 2018
- 21
- 1
Jamani naombeni msaada mwanangu anasumbuliwa sana,
Mwili hadi kichwani kinakuwa na moto iwe wakati wa joto au wakati wa baridi hali inabaki ileile, tumetumia panado kila siku kushusha joto lakini haimsaidii.
Naomba msaada kuondoa hili tatizo la muda mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwili hadi kichwani kinakuwa na moto iwe wakati wa joto au wakati wa baridi hali inabaki ileile, tumetumia panado kila siku kushusha joto lakini haimsaidii.
Naomba msaada kuondoa hili tatizo la muda mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app