Goguryeo
JF-Expert Member
- May 17, 2019
- 2,505
- 4,504
Goguryeo nimeamua nisihonge tena, baada ya msoto mkali wa Ajira bila kuwapo Kwa tumaini, nimeona sasa kidogo nachokipata nianze nunua walau tofali.
Wakuu wangu naamini mnaweza nisapoti walau nipate ramani Kwa wale wakongwe mlowahi Jenga nyumba kama hii mnisaidie mdogo wenu.
Nyumba ya sifa hizi
Sebule kiasi Tu
Dining
Jiko
1 master room
2 single room
1 single room (store)
Goguryeo nimeanza na bati 3 nimewekeza kwenye Duka la vifaa vya ujenzi. Plan yangu ni kuweka bati 3 kila mwezi za chap ya kiboko.
Shida yangu ni ramani (vipimo ambavyo plan yangu ni vyumba vya kawaida Tu, ) vipimo na idadi ya material kama bati, tofali, nondo nk...
Sihitaji GHARAMA za material maana nitaogopa na mwishowe nikaenda kuchukua hela yangu ya bati 3 nikaghairi bure.
Nitashkuru sana.🙏
Wakuu wangu naamini mnaweza nisapoti walau nipate ramani Kwa wale wakongwe mlowahi Jenga nyumba kama hii mnisaidie mdogo wenu.
Nyumba ya sifa hizi
Sebule kiasi Tu
Dining
Jiko
1 master room
2 single room
1 single room (store)
Goguryeo nimeanza na bati 3 nimewekeza kwenye Duka la vifaa vya ujenzi. Plan yangu ni kuweka bati 3 kila mwezi za chap ya kiboko.
Shida yangu ni ramani (vipimo ambavyo plan yangu ni vyumba vya kawaida Tu, ) vipimo na idadi ya material kama bati, tofali, nondo nk...
Sihitaji GHARAMA za material maana nitaogopa na mwishowe nikaenda kuchukua hela yangu ya bati 3 nikaghairi bure.
Nitashkuru sana.🙏