Naxria abdalla
Senior Member
- Feb 28, 2025
- 158
- 281
Habari husika na mada apo juu naomba kuuliza mtu akisema moyo kulipuka ndio ana maana gani?
Sasa kukusumbua vipi wakati nimeuliza au kuuliza nao ni ujinga?Una uhakika hutusumbui?
View attachment 3419747
Tuachane na hayo huyo ni wewe?Sasa kukusumbua vipi wakati nimeuliza au kuuliza nao ni ujinga?
Hii tape measure ni ya kupimia mlipuko wa moyo au sioUna uhakika hutusumbui?
View attachment 3419760
yaa of koz..Hii tape measure ni ya kupimia mlipuko wa moyo au sio
Akijibu nitag niulipuwe moyo wanguTuachane na hayo huyo ni wewe?
Mara nyingi neno Hilo hutumika pale mapigo ya moyo yanapoongezeka kwa ghafla......Habari husika na mada apo juu naomba kuuliza mtu akisema moyo kulipuka ndio ana maana gani?
😂😂😂 kala mita 100 hapo.Akijibu nitag niulipuwe moyo wangu
Uchi haushibi na hautoshiba mpk unakufaTuachane na hayo huyo ni wewe?