Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Jaman PC yangu ilikuwa inakwama kwama sada nikazima direct(kupitia batan) sasa nilipo washaa ikaniambia automatic repal ikazunguruka ikaja kioo cheus nikazima tena kuwasha mambo ndio hayo mzigo hausogei mbele una load tuu mpaka mudaaa huu si chini ya lisaa.