LJ BLOG
Senior Member
- Jul 24, 2011
- 194
- 154
Kuna jamaa yangu mmoja anatumia modem ya tigo ambayo ina miezi kama mi3 hivi anatumia bure bila kulipia au kukatwa hata senti sasa naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia na mimi nika configure ili na mimi nitumie bila kukatwa hata shilingi kwwenye modem yangu ya airtel