Naomba msaada wa kukomfiga modem nitumie bure wadau

Naomba msaada wa kukomfiga modem nitumie bure wadau

LJ BLOG

Senior Member
Joined
Jul 24, 2011
Posts
194
Reaction score
154
Kuna jamaa yangu mmoja anatumia modem ya tigo ambayo ina miezi kama mi3 hivi anatumia bure bila kulipia au kukatwa hata senti sasa naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia na mimi nika configure ili na mimi nitumie bila kukatwa hata shilingi kwwenye modem yangu ya airtel
 
Kuna line za tigo zinauzwa unatumia free it aint that easy as u think kwa kuconfigure tu. Coz wanazohack hizo line za tigo piga ua hawakuambii how they do it. Lakini lazima uwe na sim card reader a certain software to hack the sim card and also som inside information za tigo. So labda kama unamkwanja nunua hzo line tu. Tafuta thread za humu kuna watu wanauza ukikosa kabisa ni pm.
 
Kuna jamaa yangu mmoja anatumia modem ya tigo ambayo ina miezi kama mi3 hivi anatumia bure bila kulipia au kukatwa hata senti sasa naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia na mimi nika configure ili na mimi nitumie bila kukatwa hata shilingi kwwenye modem yangu ya airtel

Ni vizuri kijizoeza kulipia unachotumia. Kuna wakati unaweza lazimika kutumia ujanja inapokuwa haikwepeki, lakini rate za sasa hivi mbona ziko poa tu, kwa nini usipange bajeti ya kulingana na matumizi yako?
Kwa upande mwingine, watumiaji wa huduma wanaolipia wakiongezeka, inaweza kusaidia rate zishuke zaidi. Kuna uwezekano bei ya umeme kuwa juu inachangiwa na kuwepo watumiaji wengi tena wenye matumizi makubwa ( viwanda, wachomelea grill, wasaga nafaka n.k.) wanaojiunganishia kiujanja ujanja na kukwepa kulipa bill sitahiki. Hivyo Tanesco wanapotaka kufidia gharama za umeme unaopotea, wanatupandishia bei.
Hivi kila mtu akitaka kuwa mjanja, tutaishia wapi? Tafakarini!
 
Kuna line za tigo zinauzwa unatumia free it aint that easy as u think kwa kuconfigure tu. Coz wanazohack hizo line za tigo piga ua hawakuambii how they do it. Lakini lazima uwe na sim card reader a certain software to hack the sim card and also som inside information za tigo. So labda kama unamkwanja nunua hzo line tu. Tafuta thread za humu kuna watu wanauza ukikosa kabisa ni pm.

How much hizo modem mi nataka ya airtel kama zipo niambie mkuu pamoja na bei yake and then niangalie bajeti halafu nikushtue au sio mkuu
 
Kuna line za tigo zinauzwa unatumia free it aint that easy as u think kwa kuconfigure tu. Coz wanazohack hizo line za tigo piga ua hawakuambii how they do it. Lakini lazima uwe na sim card reader a certain software to hack the sim card and also som inside information za tigo. So labda kama unamkwanja nunua hzo line tu. Tafuta thread za humu kuna watu wanauza ukikosa kabisa ni pm.
hhow much inauzwa mi nataka ya airtel mkuu kama zipo niambie bei yake nione kama pesa hiyo ninayo au nijipange kwa bei
 
Mi nadhani mtu rahisi wa kukusaidia ni huyo jamaa yako coz atakwambia alichofanya.
 
Kuna jamaa yangu mmoja anatumia modem ya tigo ambayo ina miezi kama mi3 hivi anatumia bure bila kulipia au kukatwa hata senti sasa naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia na mimi nika configure ili na mimi nitumie bila kukatwa hata shilingi kwwenye modem yangu ya airtel


hebu tuacheni mambo ya ujanja ujanja modem zipo zinauzwa ww unataka vya bure (wizi). Hata mafisadi wanao imaliza nchi hii walianza hivihivi ndio nyie mkija kuwa viongozi mtauza nchi kwa kupenda vya bure
 
Mi nadhani mtu rahisi wa kukusaidia ni huyo jamaa yako coz atakwambia alichofanya.
Guys its nat simple, hapa lazima ujue sum internal info za tigo, wanazozichakachua ni wa2 hao hao wa tigo, mi ninayo inapiga kazi mwanzo mwisho, mwanzo zilikuwa 10,000 tu bt now 50,000 wateja wameongezeka
 
Kuna line za tigo zinauzwa unatumia free it aint that easy as u think kwa kuconfigure tu. Coz wanazohack hizo line za tigo piga ua hawakuambii how they do it. Lakini lazima uwe na sim card reader a certain software to hack the sim card and also som inside information za tigo. So labda kama unamkwanja nunua hzo line tu. Tafuta thread za humu kuna watu wanauza ukikosa kabisa ni pm.

mkuu, what about the speed? i mean downloading speed yake?icje ikawa mambo ya 60kb au 15kb!!! inafika 300kb downloading speed au zaidi?
 
kaka mambo vp? Hizo line free net ya tigo bado zinapatikana?
 
Back
Top Bottom