F F4B JF-Expert Member Joined Jan 13, 2022 Posts 354 Reaction score 447 Jul 24, 2022 #1 Tafadhari wanajukwaa naomba mnisaidie kujua watumishi wa umma waliopata ajira July-2022 wamepata mshahara wa mwezi huu.
Tafadhari wanajukwaa naomba mnisaidie kujua watumishi wa umma waliopata ajira July-2022 wamepata mshahara wa mwezi huu.
F F4B JF-Expert Member Joined Jan 13, 2022 Posts 354 Reaction score 447 Jul 24, 2022 Thread starter #4 Kuna halmshauri zingine wamepata zingine bado nazani Kuna shida mahali fulani na Maafisa utumishi wilaya.
Kuna halmshauri zingine wamepata zingine bado nazani Kuna shida mahali fulani na Maafisa utumishi wilaya.