Wapedwa naomba msaada wa kujiondoa Deshmax ,Kuna mtu alinielekeza kujiunga ili nipate sms za mtu niliyetaka kumfwatilia .
Ndani ya wiki mbili hizi wameshanikata 60,000 tigo pesa yaani wanakata 30,000 sijui baada ya mda gani
Hata huduma yenyewe sipati wanachukua tu hela ya Bure .
Naomba anayejua namna ya kujiondoa au ikishindikana nikatoe hela yangu nitupe line .