Ndugu gari ninalo la kuendesha sema halina vigezo kuliweka kwenye app umetoa ushauri mzuri lakin ningeomba kama tungeweza kunisaidia unisaidieBro ushauri wa bure, hakuna mtu atakupa taarifa za gari yake uweke kwenye app au account yako ili uweze kuwa active.
Mfumo umebadilika gari moja hutumika kwemye account moja na sio duplicate kama zamani.
Pili unahitaji document una gari ya kuemdesha, kama unalo kwann usikate vibali ukafanya kazi kihalali.
Tatu upewe taarifa za gari ukifanya tukio mwenye gari akamatwe we ukimbie au umejipangaje.
Hamna short cut siku hizi nyooka ufanye kazi kihalali acha ubabaifu
Mkuu iko hivi gari niliko nalo ni Raum pia private kulibadilisha kwenda commercial staweza maana kadi Sina ndio maana nkaomba msaada kama kuna mtu Ana makala za gari mfano latra kadi ya gari commercial na bima anisaidie ni upload mim nitaendelea kutumia Hili gari languGari gani unalo nikusaidie
Mkuu naomba uniunganishe!Upo wapi? Njoo nikuunganishe na linkee uenjoy maisha Haina Makato yoyote, kama upo dar ni pm