ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Nina tumia simu angu huawei Y330 tatizo ni kwamba nikiweka line ya Tigo iwe inatumika katika internert halafu nikaweka 3G badala ya E ina niletea H au H+ sasa nikiweka voda hainiletei H wala H+.
Sasa nilikuwa naomba msaada wa setting za 3G kwa mtandao wa Vodacom.
Msaada tafadhari.
Sasa nilikuwa naomba msaada wa setting za 3G kwa mtandao wa Vodacom.
Msaada tafadhari.