Naomba msaada wa kiufundi

Naomba msaada wa kiufundi

Life2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,387
Reaction score
4,878
1485194842593.png
kuna hii sms inakuja kwenye Sms kama nafanya kitu halafu programe husika inajifuta na kunibd kuanza upya tena nimejitaidi kutafuta suluhisho ila nimeshindwa.Naomba Msaada jinsi ya kuiondoa wapendwa.
 
Ngoja wataalam waje... Hii makitu na mimi inanitokea. Inaboa sana yani...

"Unfortunately, Whatsapp has stopped"... Dah!!
 
Ngoja wataalam waje... Hii makitu na mimi inanitokea. Inaboa sana yani...

"Unfortunately, Whatsapp has stopped"... Dah!!
Halafu zamani haikuwepo nikahisi kuna programe nimeipakua ndo imeleta hicho kirus...aisee inakera kupita maelezo,naimani wataalamu watatupatia suluhisho.
 
Uza hiyo simu faster....Android engn inapoteza kumbukumbu
 
Hiyo ni virus ambayo ipo kwenye simu nyingi zenye mfumo wa adroid kwa sasa (hasa huawei) Karibu ofisini kwangu kwa msaada wa kiufundi
 
Setting>application>google play store service>clear cache.
Ikigoma na hii weka new custom rom.
Done... ngoja niangalie kama ntafanikiwa,

mambo yakiwa biyee, ntakukabidhi kamchepuko kangu kamoja ujitume nako usikum kucha.
 
Back
Top Bottom