Asante sana,unapatikana wapiMchicha IPO aina tatu
Kuna mchicha unaitwa gwasi ni mchicha wa kienyeji huu kuotesha kwake unasia kwenye kitalu kisha unakuja kungoa na kuotesha kwenye tuta liloandaliwa
Kuna mchicha unaitwa lishe huu unarusha kwenye tuta liloandaliwa na inachukua siku 21 kuvunwa mbegu yake kg 4000
Mbegu nyingine supa na yenyewe kama lishe ila lishe ndo inafanya vema sana...
Kwa maelezo zaidi 0755404226
Pia Mimi ni Mkulima wa mboga mboga na papai na nauza Miche hybrid
OK shukran Mimi pia nipo DSM mikwambe nitakucheki kwa hiyo nambaDsm kiluvya hapa
Mchicha huchukua wiki 3 mpaka 6 kuanzia kupandwa mpaka kuvunwa. Vipi umefikia wapi ndg ktk utekelezaji?Nahitaji kujua kuhusu IPI ni mbegu bora,gharama yake,namna bora ya kupanda,inachukua muda gani mpaka kuvunwa,na soko ikibidi asanteni
Eka moja ya mchicha inaweza kutoa faida ya kiasi gani kwa makisio ndg?Mchicha IPO aina tatu
Kuna mchicha unaitwa gwasi ni mchicha wa kienyeji huu kuotesha kwake unasia kwenye kitalu kisha unakuja kungoa na kuotesha kwenye tuta liloandaliwa
Kuna mchicha unaitwa lishe huu unarusha kwenye tuta liloandaliwa na inachukua siku 21 kuvunwa mbegu yake kg 4000
Mbegu nyingine supa na yenyewe kama lishe ila lishe ndo inafanya vema sana...
Kwa maelezo zaidi 0755404226
Pia Mimi ni Mkulima wa mboga mboga na papai na nauza Miche hybrid