Konki kichaa
Senior Member
- May 18, 2018
- 103
- 72
Wakuu habari nina mdogo wangu alimaliza form four Mwaka 2012 alipata ufaulu wa four ya 28.
History C
Geography D
English D
Kiswahili D
Civics D
Biology D
B/mathematics F
Sasa anahitaji akasome chuo cha kilimo lakini napata mashaka kama anaweza kukataliwa kwakua hakusoma sayansi
Naomba msaada kwa anaefahamu sifa za kujiunga na vyuo vya kilimo
Je, kwa ufaulu huo anaweza kukubaliwa?
Asanteni.
History C
Geography D
English D
Kiswahili D
Civics D
Biology D
B/mathematics F
Sasa anahitaji akasome chuo cha kilimo lakini napata mashaka kama anaweza kukataliwa kwakua hakusoma sayansi
Naomba msaada kwa anaefahamu sifa za kujiunga na vyuo vya kilimo
Je, kwa ufaulu huo anaweza kukubaliwa?
Asanteni.